Wafanyabiashara weusi Tanzania, pelekeni watoto India wasome shahada za family business ili mkifa biashara zisife

Wafanyabiashara weusi Tanzania, pelekeni watoto India wasome shahada za family business ili mkifa biashara zisife

Kwenye business kuna area nyingi kuna marketing,finance, planning , production nk angalia hao watoto wa bakhresa walivyojipanga wamesoma maeneo tofauti tofauti lakini relevant kwa uendeshaji kampuni

Ikifika finance anasimama kipanga wa finance nk

Mimi nimetoa wapi wafanyabiashara waswahili waanzie wachukue degree za family business kampuni inavyokua waweza wengine kuanza kusomra specic areas ili kampuni iwe na watoto experts kwenye nyanja mbalimbali ndani ya kampuni

Mmi nashauri wapi waanzie kama sehemu ya kuanzia kwenye succession plan ku wa empower watoto kwa knowledge ya family business toka uhindini kwa wazoefu wa hizo biashara za fanilia
Kwahiyo pia unataka kila Mtanzania azae watoto 8 kama Bakhressa??

Kama una mtoto mmoja au wawili wakasoma Finance na Business Admistration za UDSM au UDOM na sio hiyo family business ya India wao hawawezi kutengeneza Admistration structure na kwenye mapungufu wakahire watu wa kuziba hizo nafasi??

Pia unataka kusema hakuna watoto wa kiafrika (Kitanzania) waliofanikiwa kwa kuendesha biashara za familia??

Mkuu shida kubwa ya waafrika na wabongo wengi ni kutohusisha watoto kwenye biashara, na sio watoto tu mpaka mke wakati mwingine hajui chochote kuhusu biashara ya mmewe wala account zina pesa ngapi. Anashirikishwa tu kusign fomu za mikopo za benki..
 
Hata wakisoma kazi bure..
-Baba ana acaunt kumi za bank zote hazijulikani na familia

-Baba ana biashara nyingine zaidi ya tatu zote hazijulikani na familia moja tu ndiyo inayo julikana na famili

-Baba wa kiafrica anaamini hakuna anaeweza kuendesha biashara yake tofauti na yeye

-Baba wa kiafrica haamini watoto wake mda wote anahisi kuibiwa..

Baba wa kiafrica haamini mawazo ya mtu mwingine zaidi na mawazo yake


wacha tu zife
Ukweli mchungu
 
Mie katika pilika pilika zangu za kusaka tonge...nimegundua kitu kimoja kikubwa!

Watanzania wengi biashara zetu ni za uchuuzi tu...yaan unachukua biashara area 1unapeleka area 2!faida ndo unaendeshea maisha...

Ni watz wachache Sana wenye business kubwa au kampuni kbs!sijui umeelewa! Shida inakuja hapo!.tumekuwa wachuuzi zaidi..! Ngumu Sana kumpeleka mtoto akapate elimu nje!

Na hao wenye makampuni weusi ndo Kama unavyosema!😔!
Naamini Kama Kuna takwimu basi wenye firms zao hawazid 2%!
Nchi yetu bado Ina umaskini Sana!..tumetopea!
 
Mzee Ekenywa..
Kutoka EKENYWA ENT CLINIC hadi EKENYWA SPECIALISED HOSPITAL..
Baba alikuwa Daktari bingwa kwa Kinywa na Meno na akafungua hospitali pale Magomeni Mwembechai na Mtoto Dr Emmanuel naye kabobea kwenye Fani ya baba yake hivyo anasimamia hospitali vizuri kabisa...
Pili Kairuki Memorial Hospital ni Family Business..
Baba alikuwa Daktari na watoto na ni Madaktari...!
Kwahiyo pia unataka kila Mtanzania azae watoto 8 kama Bakhressa??

Kama una mtoto mmoja au wawili wakasoma Finance na Business Admistration za UDSM au UDOM na sio hiyo family business ya India wao hawawezi kutengeneza Admistration structure na kwenye mapungufu wakahire watu wa kuziba hizo nafasi??

Pia unataka kusema hakuna watoto wa kiafrika (Kitanzania) waliofanikiwa kwa kuendesha biashara za familia??

Mkuu shida kubwa ya waafrika na wabongo wengi ni kutohusisha watoto kwenye biashara, na sio watoto tu mpaka mke wakati mwingine hajui chochote kuhusu biashara ya mmewe wala account zina pesa ngapi. Anashirikishwa tu kusign fomu za mikopo za benki..
 
Kwanini Family Business za Wahindi na waarabu zinafanikiwa..?
Kubwa ni Kuwa
Wenzetu wanajenga Biashara katika Misingi ya Ujuzi....
Hivyo mtoto naye Hurithi ujuzi wa wazazi katika mfumo rasmi au usio rasmi..
Pili katika vipindi vya likizo watoto hupata muda mwingi wa kukaa kwenye biashara za Familia zao na kuanza kupata uzoefu wangali bado wadogo...
Hivyo kwa utaratibu huo hurithishana ujuzi vizazi na vizazi...
 
Upumbavu tu hapa umeandika..

Mbona huyo Mo na watoto wa Bakhressa hawajasoma hizo family business bachelor na wamesoma US na UK??

Mzazi mshirikishe mtoto wako kwenye biashara zako tangia akiwa mdogo na uweke succession plan. Lakini pamoja na yote hayo msisitize asome kwa bidii ili aje asimamie hizo biashara. Hata akisoma Udom kama utakuwa umeweka msingi imara tangia mwanzoni hawezi kufeli
Kweli kabisa, ukimshirikisha mwanao kwenye biashara zako tangu awali itamjengea uzoefu mapema na kufahamika vizuri na washirika wenzako wa biashara, hivyo hatashindwa kuiendeleza.
 
Mzee Ekenywa..
Kutoka EKENYWA ENT CLINIC hadi EKENYWA SPECIALISED HOSPITAL..
Baba alikuwa Daktari bingwa kwa Kinywa na Meno na akafungua hospitali pale Magomeni Mwembechai na Mtoto Dr Emmanuel naye kabobea kwenye Fani ya baba yake hivyo anasimamia hospitali vizuri kabisa...
Pili Kairuki Memorial Hospital ni Family Business..
Baba alikuwa Daktari na watoto na ni Madaktari...!
Hazipanuki walivyoaacha wazazi wao ziko hivyo hivyo!!! No New addition!!!!
 
Biashara ni wito na maono, kama nimefanikiwa kuwasomesha basi wakatafute vyao, mi nilifundishwa na nani?

Wacha biashara ife!
 
Hata wakisoma kazi bure..
-Baba ana acaunt kumi za bank zote hazijulikani na familia

-Baba ana biashara nyingine zaidi ya tatu zote hazijulikani na familia moja tu ndiyo inayo julikana na famili

-Baba wa kiafrica anaamini hakuna anaeweza kuendesha biashara yake tofauti na yeye

-Baba wa kiafrica haamini watoto wake mda wote anahisi kuibiwa..

Baba wa kiafrica haamini mawazo ya mtu mwingine zaidi na mawazo yake


wacha tu zife
KiufupI Wazee wa Kiafrika wanapenda kuona watoto wakiteseka. Wanapokufa lazima watu wagawane sababu hakuna anayejua kuendesha biashara
 
Back
Top Bottom