Wafanyabiashara weusi Tanzania, pelekeni watoto India wasome shahada za family business ili mkifa biashara zisife

Wafanyabiashara weusi Tanzania, pelekeni watoto India wasome shahada za family business ili mkifa biashara zisife

That's the cultural difference! Baba was kiakfrika hata access ya bank account hataki mkewe na watoto wawe nayo, anaona bora akifariki na biashara ifungwe tu kuliko wengine kufaidi mfano, mjane wake Ku enjoy mali zake na mwanaume mwingine, sababu ndo mawazo yake yanampeleka hapo. Control from the grave.

Badilikieni wanaume! Ndo wale wale wanaoachisha wake zao kazi sababu wanataka kuchunga mke, result ni familia inakuwa na income moja badala ya mbili. Akitangulia mbele what happens to his family??

Badilikeni.
Tutakapojenga mfumo wa wanawake kuchuma nje kuleta kwa mume na familia then itakuwa rahisi kuishape mentality ya mwanaume kuwa kila anachochuma anaweza share na familia yake wakajua kila kitu.

Hawa wanawake wetu wakishajua mzunguko wako wa pesa, salio la benki na taarifa za account, wakasoma connection zako za biashara na kujua mbinu zote, hawawazi mara mbili kukumaliza na kuwajaza watoto sumu ili wao wachukue mali wapite hivi na watoto.
 
Tutakapojenga mfumo wa wanawake kuchuma nje kuleta kwa mume na familia then itakuwa rahisi kuishape mentality ya mwanaume kuwa kila anachochuma anaweza share na familia yake wakajua kila kitu.

Hawa wanawake wetu wakishajua mzunguko wako wa pesa, salio la benki na taarifa za account, wakasoma connection zako za biashara na kujua mbinu zote, hawawazi mara mbili kukumaliza na kuwajaza watoto sumu ili wao wachukue mali wapite hivi na watoto.
Huo mfumo mbona upo tayari?
Hiyo ya mwanamke kujaza watoto sumu ....bidii inatakiwa kuchangua mwenza mwaminifu na mwenye maono ya mbali na mapenzi ya dhati kwako wewe kama mume. Anaeona kuwa mafanikio yako Ni mafanikio ya familia nzima.
 
Biashara zetu tatizo ujanja ujanja mwingi, watu wanakwepa kodi, hawacomply na sheria na ndio maana wazee wakifa na zenyewe chalii
 
Hata wakisoma kazi bure..
-Baba ana acaunt kumi za bank zote hazijulikani na familia

-Baba ana biashara nyingine zaidi ya tatu zote hazijulikani na familia moja tu ndiyo inayo julikana na famili

-Baba wa kiafrica anaamini hakuna anaeweza kuendesha biashara yake tofauti na yeye

-Baba wa kiafrica haamini watoto wake mda wote anahisi kuibiwa..

Baba wa kiafrica haamini mawazo ya mtu mwingine zaidi na mawazo yake


wacha tu zife
Na hivyo ambavyo baba wa Africa haviamini ni kweli vinaleta shida.

Kama ni watoto utakuta wanaacha hata shule ili wa-spend na kujirusha na fedha za baba. Sijui tupo vipi sisi ngozi nyeusi.

Ukimsaidia mtu na kumuingiza katika biashara yako anaifirisi na hata yeye alichoambulia unakuta ni sawa na hakuna kwa sababu aliiba na kuwa na matumizi mabovu.
 
Huo mfumo mbona upo tayari?
Hiyo ya mwanamke kujaza watoto sumu ....bidii inatakiwa kuchangua mwenza mwaminifu na mwenye maono ya mbali na mapenzi ya dhati kwako wewe kama mume. Anaeona kuwa mafanikio yako Ni mafanikio ya familia nzima.
True mkuu
 
Back
Top Bottom