Wafanyakazi TTCL kupelekwa TRA na bandarini

Wafanyakazi TTCL kupelekwa TRA na bandarini

Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Wakaue tra na tpa kama walivyofanya ttcl
 
Bongo cyber security ni ndogo ukiweka automous Mfumo wa mapato tugemea watu kucrack sana na kukwepa kabisa


Pia urasimu na mlolongo mrefu ambapo mamlaka nyingine zinatakiwa kuingiliana na TRA kimfumo mfano bandari yaani bandari bado kuwa automation kweny utendaji watawezaje kulink na TRA maana wao ndo sehemu kubwa ya mapato


Hapana!

Watanzania sio wajinga kiasi hicho!

Yaani nchi karibia zote zimeweza isipokuwa ishindikane Tanzania?

Kwani ikiwa autonomous ndio kusema Mamlaka nyingine haziwezi kuwaangalia utendaji wao ?

Sema baadhi ya Viongozi wanajinufaisha Na udhaifu huo kwa sasa wa kutokuwa automous maana huenda wengine wakitaka wanawaingiza watoto wao Na waume zao yaani wakwe huko TRA yaani unakuta familia nzima imeingizwa TRA kwa influence ya uongozi wa mzazi.?
 
TTCL ni ngumu kushindana na Tigo au Vodacom. Watu ni wavivu sana huko.

Na mwendokasi pia serikali waachie wameshindwa. Usafiri wa unyanyasaji raia. Kujaza raia kupita kiasi hadi kushindwa kupumua na mabasi kupaki sana vituo vya mwisho sasa maana yao ya rapid transport haipo . Jana sijui Kuna stori gari lao limegonga Mtu likampasua ubongo damu zikatapakaa road na raia wakafunga Barabara Kwa hasira maana jamaa wamezidi ajali Kila siku wanagonga raia! Halafu uwezo wao kipesa ni mdogo wana mabasi machache sana,! Hili shirika apewe hata Azam au GSM
Sasa Mkuu Mainjinia wa TTCL wanatumia Bajaji kufika site unategemea kutakuwa na ufanisi hapo??
 
Hawa si tuliaminishwa kuwa wanafanya vizuri kiasi cha kupeleka gawio serikalini?

Wakati wa Mwendazake tuliaminishwa wanafanya vizuri , sasa imekuwaje gafla?
 
Nampongeza mh. Rais "shirika linalonyonya fedha za bure bila kuzalisha chochote ni mzigo kwa serekali" na ni upuuzi kuendelea kuwa nalo,maana fedha zinazojazwa humo zingeweza kufanya mengine mazuri kwenye taifa letu.
N. B, TTCL MOBILE, ATAFUTWE MWEKEZAJI ATAKAYELIMUDU TUSIUE TTCL TELECOM MOJA KWA MOJA.
Hapana TTCL kuna matumizi makubwa
 
Unafahamu;

Unapoona utaratibu fulani umewekwa au uamuzi fulani kupitishwa tunaamini kuna “facts za msingi “ zilizingatiwa katika ku-arrive hapo”

Sasa gafla unapotaka kugeuza utaratibu huo unatakiwa uje na facts zako za kutosha kuzidi za wenzio [emoji108]


Mfano; recommendations toka Kwa taarifa ya CAG , n.k.

Matharani;

Wenzio walifikia uamuzi wa kubinafsisha mashirika ya umma (Rejea Ilikuwa PSRC) sababu mbalimbali na Pengine baada ya utafiti au uchunguzi,

Wewe unakuja kusema Hapana nayarudisha serikalini [emoji848][emoji848] tena bila kufanya utafiti wala uchunguzi just Kwa mihemko tu ya kisiasa?

Kwa hiyo facts walizozingatia wenzio unaziona zimekuwa irrelevant?

Tupatie wewe facts zako za kutosha za kubadilisha huu utaratibu [emoji2369]

Haya sasa ,

Nyumbani kulinoga , sasa kumedoda au ?!
 
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Mama hataki hata kuuniza kichwa kuendesha nchi ..kila kitu kikimshinda anahamishia private sector
 
Jamaa alikuta taasisi ziko semi-autonomous of which zinapaswa kuwa na full autonomy,

Yeye hata ile semi -autonomous akaindoa [emoji848][emoji848]

Ukiwauliza wapambe wake sababu ni zipi?

Wanauma maneno!

Inakuwa ni mihemko ya kisiasa!

Ambapo wapambe wanafurahi kukiwa na udhaifu ili wachomekee watoto wao na wakwe, wapwa, mahawara n.k.?

Penye udhia ………….

Lakini yatupasa kujisikia kuwiwa na maisha ya watanzania na vizazi vyao!
 
TTCL is there to stay,

Kuna wakati watu huongea kulifurahisha genge, na ushauri hupuuzwa sometimes.

Usijefikiri Kuna siku bandari au tra itabinafsishwa Kwa kushindwa kuoperate Kwa ushauri wa kiongozi!!
 
Kabla hawajasepa, waache wametufungulia modem zetu za TTCL.
Aidha wayape makampuni mengine ya simu code zao ili line za mitandao mingine zisome code za TTCL.
 
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Wameula hao🙏mi5 Tena kwa mamaakeee😋
 
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Ndo zingine bana.

[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom