hamada umelewa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 428
- 791
Ndo nilichokisema kwamba kama tatizo ni uongozi ubadilishwe sio kuua shirika au kufunga operations zake.Huwezi kufufua shirika wakati viongozi waliolifikisha hapo bado wapo humohumo inatakiwa kubadilisha kila kitu ndio uanze upya