hamada umelewa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 428
- 791
Ndo nilichokisema kwamba kama tatizo ni uongozi ubadilishwe sio kuua shirika au kufunga operations zake.Huwezi kufufua shirika wakati viongozi waliolifikisha hapo bado wapo humohumo inatakiwa kubadilisha kila kitu ndio uanze upya
Wanapelekwa halmashauri woteWakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Yah ni kweli kabisa, huwezi pelekwa tu TRA wakati hukusomea mambo ya fedha.Hamna kitu kama hicho. Kikubwa wakiandae kwenda Halmashauri za miji kule ndiyo zoa zoa ya deadwood.
NakaziaNadhani hii habari siyo kweli, isitoshe kuua TTCL Mobile kabisa siyo sahihi kwa maana bado kuna income ambayo haijapewa njia nzuri iweze kutiririka bali waliokuwepo walifanya ni mradi wao.
Apewe mwekezaji hii TTCL Mobile.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kubabakeLeo ni sikukuu yao mzee mwenzangu...
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Hii ndiyo akili ya CCM. Shirika halifanyi vizuri kwa sababu ya uongozi mbovu unaowekwa kuliongoza. Na viongozi wake wanateuliwa na CCM. Tujiulize: Mbona Vodacom, Tigo, Halotel etc zinafanya vizuri?Nampongeza mh. Rais "shirika linalonyonya fedha za bure bila kuzalisha chochote ni mzigo kwa serekali" na ni upuuzi kuendelea kuwa nalo,maana fedha zinazojazwa humo zingeweza kufanya mengine mazuri kwenye taifa letu.
N. B, TTCL MOBILE, ATAFUTWE MWEKEZAJI ATAKAYELIMUDU TUSIUE TTCL TELECOM MOJA KWA MOJA.
Moja ya drawback ya Monopoly system ni hiyo Taasisi zilizopewa dhamana ya kutoa huduma kwa jamii hufanya hivyo tu wanapojisikia yaani mradi liende no innovation at allTTCL ni ngumu kushindana na Tigo au Vodacom. Watu ni wavivu sana huko. Huko Kuna mawazo mgando wazee wenye vyeo! Kuna mazee Yana vyeo serikalini ila akili hamna na hayapendi kustaafu ubunifu zero! huko govt Kuna urasimu na sheria za manunuzi my foot huwezi kushindana na ford brand new za tigo zikibrand kampuni mitaani! Mara sijui magari ya matangazo wadada wanapekecha!!
Hawa TTCL wameisha fungeni mashirika na mengine yaliyochoka!
Na mwendokasi pia serikali waachie wameshindwa. Usafiri wa unyanyasaji raia. Kujaza raia kupita kiasi hadi kushindwa kupumua na mabasi kupaki sana vituo vya mwisho sasa maana yao ya rapid transport haipo . Jana sijui Kuna stori gari lao limegonga Mtu likampasua ubongo damu zikatapakaa road na raia wakafunga Barabara Kwa hasira maana jamaa wamezidi ajali Kila siku wanagonga raia! Halafu uwezo wao kipesa ni mdogo wana mabasi machache sana,! Hili shirika apewe hata Azam au GSM