Preator
Member
- Sep 1, 2023
- 71
- 131
Hakika.Na ninyi ndiyo chimbuko la kuona,kuibua na kutoa njia za awali kuhusu changamoto za jamii husika.Shida inakuja ni ninyi kuonekana hamtakiwi kuishi kama binadamu wenye mahitaji sawa na wapendao kuitwa "maofisa" hasa wa hizi halmashauri za nchi hii.Poleni in advances!
Kabisa!