Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
We nenda hata ofisi ndogo za bunge pale Karibu na Magogoni then utupe jibu, usiende umevaa shart la CCMNyooka kimaelezo.Kwamba alichokieleza si sahihi?Tupe iliyo kweli mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nenda hata ofisi ndogo za bunge pale Karibu na Magogoni then utupe jibu, usiende umevaa shart la CCMNyooka kimaelezo.Kwamba alichokieleza si sahihi?Tupe iliyo kweli mkuu.
Mimi nimefika Ikulu ya Dar na nimeeleza mapokezi mazuri niliyopewa, mtoa mada kafika bungeni kaeleza mapokezi mazuri aliyopewa, na wewe rukhsa kueleza kwa upande wakoKwamba sisi hatujawahi kufika?
Ulijitambulisha kuwa umetoka wapi au ulikuwa umevaa vazi la CCM?Mimi nimefika Ikulu ya Dar na nimeeleza mapokezi mazuri niliyopewa, mtoa mada kafika bungeni kaeleza mapokezi mazuri aliyopewa, na wewe rukhsa kueleza kwa upande wako
Tulishawahi kwenda ofisi ndogo ya bunge hadi ndani tukaingia, maji tukanywa, picha tukapiga kama zote.... na hatukua na mavazi ya chama chochoteWe nenda hata ofisi ndogo za bunge pale Karibu na Magogoni then utupe jibu, usiende umevaa shart la CCM
Mtu wangu acha hizo. Sisi tupo kila sehemuKwani chawa huwa wanaishi bungeni?Ninyi si kwamba mnajibanza upenuni mwa vijiwe mitaani kunusanusa habari,kusifia hata ujingaujinga na kupeleka taarifa chonganishi?
Ngojea waje wafuasi wa TEC kumwaga matusi,wamepewa maelekezo wapinge kila kitu awamu hiiNimefanikiwa kutembelea Bunge letu hivi karibuni wakati vikao vinaendelea.
Nilikuwa na issue ya kiofisi, niwaambie Watanzania wenzangu. Ofisi za Bunge la Tanzania ni mfano wa kuigwa kwa ofisi zote za Umma nchini.
Kuanzia mapokezi hadi huduma unazopewa pale unapata uthubutu wa kujivunia Bunge letu. Inawezekana wawakilishi wetu wakawa siyo competent lakini wale wafanyakazi loh ni kaliba nyingine.
Hawana ukiritimba, hata kama ukikosea utaratibu wanakuelewesha in friendly and respective manner. Usalama wako na mali yako upo guaranteed 100%.
Ukiambiwa njoo kesho, hakika kesho jambo lako linakuwa tayari.
uongozi na wafanyakazi wote wa Bunge chukueni 🌺🌺maua🌺🌺 yenu 🌷walah🌷
Take it easy!As much easy as you can,the chawa "himself"!🙏😂Mtu wangu acha hizo. Sisi tupo kila sehemu
Unawawekea maneno midomoni mwao.Acha fitina hazitokusaidia kupukuchua mahindi ya unga wa ugali.Ngojea waje wafuasi wa TEC kumwaga matusi,wamepewa maelekezo wapinge kila kitu awamu hii
Sisi chawa wa nguvu kila hoja tunajibu hahaha. Ila hakuna siku nayoisubiria kama ile itakayofanyika Dodoma 2025 “….. mimi Samia …. naapa … wa JMT” yaani siku hiyo ni sherehe tu, na nyingine ni ile 2030 “… mimi Samia….naapa… rais wa JMT” yaani mpaka 2035. Ni lazima asipotaka tutamlazimisha!Take it easy!As much easy as you can,the chawa "himself"!🙏😂
Naam.Kweli wewe ni chawa mchangamfu sana.Na iwe kama liwazo lako la moyo likuoneshalo kesho ya ndotoni.Sisi chawa wa nguvu kila hoja tunajibu hahaha. Ila hakuna siku nayoisubiria kama ile itakayofanyika Dodoma 2025 “….. mimi Samia …. naapa … wa JMT” yaani siku hiyo ni sherehe tu, na nyingine ni ile 2030 “… mimi Samia….naapa… rais wa JMT” yaani mpaka 2035. Ni lazima asipotaka tutamlazimisha!
Siyo ndoto ni hakika Rais Dkt Samia lazima aongoze mpaka 2040! Au zaidi. Asipotaka tutamlazimisha! Maana sisi wananchi tunampendaNaam.Kweli wewe ni chawa mchangamfu sana.Na iwe kama liwazo lako la moyo likuoneshalo kesho ya ndotoni.
"Wananchi"(?)Vema na usiliharibu tumbuizo la moyo wako.Siyo ndoto ni hakika Rais Dkt Samia lazima aongoze mpaka 2040! Au zaidi. Asipotaka tutamlazimisha! Maana sisi wananchi tunampenda
Ndiyo ni mimi na wewe. Dkt Samia tumpe sapoti jamani maana tangu uhuru tunaongozwa na midume umeona Mama kaja kila kitu kipo safi sasa."Wananchi"(?)Vema na usiliharibu tumbuizo la moyo wako.
Nimefanikiwa kutembelea Bunge letu hivi karibuni wakati vikao vinaendelea.
Nilikuwa na issue ya kiofisi, niwaambie Watanzania wenzangu. Ofisi za Bunge la Tanzania ni mfano wa kuigwa kwa ofisi zote za Umma nchini.
Kuanzia mapokezi hadi huduma unazopewa pale unapata uthubutu wa kujivunia Bunge letu. Inawezekana wawakilishi wetu wakawa siyo competent lakini wale wafanyakazi loh ni kaliba nyingine.
Hawana ukiritimba, hata kama ukikosea utaratibu wanakuelewesha in friendly and respective manner. Usalama wako na mali yako upo guaranteed 100%.
Ukiambiwa njoo kesho, hakika kesho jambo lako linakuwa tayari. Trust me, Bungeni hakuna ukiritimba tuliozoea kuuona maeneo mengine
uongozi na wafanyakazi wote wa Bunge chukueni [emoji259][emoji259]maua[emoji259][emoji259] yenu [emoji255]walah[emoji255]
Ukiwa huna njaa na akili inatuliaWafanyakazi wa sehemu yoyote iwe serikalini, kwa watu binafsi, vyoo vya manispaa na popote WANAOLIPWA vizuri na wenye marupurupu yooote LAZIMA wafanye kazi kama hao unaowasifia......
mwingine aendeleze hapa chini........
Wewe umechanganywa tu na milango ya sensor ya kukaribia na kujifungua ,au vinginevyo ulitaka tujue umefika bungeni,Nimefanikiwa kutembelea Bunge letu hivi karibuni wakati vikao vinaendelea.
Nilikuwa na issue ya kiofisi, niwaambie Watanzania wenzangu. Ofisi za Bunge la Tanzania ni mfano wa kuigwa kwa ofisi zote za Umma nchini.
Kuanzia mapokezi hadi huduma unazopewa pale unapata uthubutu wa kujivunia Bunge letu. Inawezekana wawakilishi wetu wakawa siyo competent lakini wale wafanyakazi loh ni kaliba nyingine.
Hawana ukiritimba, hata kama ukikosea utaratibu wanakuelewesha in friendly and respective manner. Usalama wako na mali yako upo guaranteed 100%.
Ukiambiwa njoo kesho, hakika kesho jambo lako linakuwa tayari. Trust me, Bungeni hakuna ukiritimba tuliozoea kuuona maeneo mengine
uongozi na wafanyakazi wote wa Bunge chukueni 🌺🌺maua🌺🌺 yenu 🌷walah🌷
hilo ni bunge la ccm na sio watanzaniaNimefanikiwa kutembelea Bunge letu hivi karibuni wakati vikao vinaendelea.
Nilikuwa na issue ya kiofisi, niwaambie Watanzania wenzangu. Ofisi za Bunge la Tanzania ni mfano wa kuigwa kwa ofisi zote za Umma nchini.
Kuanzia mapokezi hadi huduma unazopewa pale unapata uthubutu wa kujivunia Bunge letu. Inawezekana wawakilishi wetu wakawa siyo competent lakini wale wafanyakazi loh ni kaliba nyingine.
Hawana ukiritimba, hata kama ukikosea utaratibu wanakuelewesha in friendly and respective manner. Usalama wako na mali yako upo guaranteed 100%.
Ukiambiwa njoo kesho, hakika kesho jambo lako linakuwa tayari. Trust me, Bungeni hakuna ukiritimba tuliozoea kuuona maeneo mengine
uongozi na wafanyakazi wote wa Bunge chukueni 🌺🌺maua🌺🌺 yenu 🌷walah🌷