Hakika.Na ninyi ndiyo chimbuko la kuona,kuibua na kutoa njia za awali kuhusu changamoto za jamii husika.Shida inakuja ni ninyi kuonekana hamtakiwi kuishi kama binadamu wenye mahitaji sawa na wapendao kuitwa "maofisa" hasa wa hizi halmashauri za nchi hii.Poleni in advances!
Hata hao wa Ikulu wapo njema sana kwenye customer care, nina ushahidi wa Ikulu ya Dar, unakaribishwa vizuri, unafahamishwa taratibu kwa tabasamu pana, hadi unatamani usiondoke haraka.Ikulu kuna marupurupu ya kutosha kuliko kote.
Jatibu kwenda huko basi utuletee habari hapa
Sawa mkuuSerikali iendelee kukaza katazo la matumizi ya mirungi na bangi🤣
Nadhani umeanza kuona ya kwamba, binadamu/mtumishi ukimtendea haki kwa kumkirimu kulingana na kazi/tija yake(mshahara utoshao,marupuru,heshima na kumjali kwa wakati)atakuwa mtumishi mwema!?Ni wakati saaa wa kuwajali na watumishi wengine hasa kuanzia nafasi za chini.Hao wa bungeni wanakuwa well-treated.Lazima waoneshe ukweli na utofauti.Yaani hata polisi wa Bunge tofauti na firigisi mongers wa huku mitaani
Nina barua zangu 3 walizipoteza wale.Hata hao wa Ikulu wapo njema sana kwenye customer care, nina ushahidi wa Ikulu ya Dar, unakaribishwa vizuri, unafahamishwa taratibu kwa tabasamu pana, hadi unatamani usiondoke haraka.
UWT alimaanisha "Usalama Wa Taifa."Sijamuwekea wino kwenye kalamu.Serikali iendelee kukaza katazo la matumizi ya mirungi na bangi🤣
Kuna watumishi wanaolipwa vizuri kama wa BOT?Nadhani umeanza kuona ya kwamba, binadamu/mtumishi ukimtendea haki kwa kumkirimu kulingana na kazi/tija yake(mshahara utoshao,marupuru,heshima na kumjali kwa wakati)atakuwa mtumishi mwema!?Ni wakati saaa wa kuwajali na watumishi wengine hasa kuanzia nafasi za chini.Hao wa bungeni wanakuwa well-treated.Lazima waoneshe ukweli na utofauti.
Si kwamba wanalipwa vizuri willingly.Wanawalipa vizuri "sana" kwa kuwaogopa.Kwa maneno ya kweli ni kama wanatulizwa kwa hongo in the names of mishahara minono.Wanajua wakiwafanyia "zeleheba" watatufanyia hujuma na wote tutalia kama punda vihongwe.Kuna watumishi wanaolipwa vizuri kama wa BOT?
You know what I mean!!
Take the major and first one and leave the "general" term.Usalama wa Taifa = UwT
Umoja wa Wanawake Tanzania = UWT
Mbona huko nssf nk kuna ukiritimba uliopitiliza mkuu, hizo njoo kesho, file halionekani ni mambo ya kawaida sana.Wafanyakazi wa sehemu yoyote iwe serikalini, kwa watu binafsi, vyoo vya manispaa na popote WANAOLIPWA vizuri na wenye marupurupu yooote LAZIMA wafanye kazi kama hao unaowasifia......
mwingine aendeleze hapa chini........
Nilitaka nimjibu hivyo hivyo maana hata ukienda Ofisi zile zinazolipa Watumishi vizuri lazima utakaribishwa vizuri utapewa juice,utaangalia TV wakati unangoja huduma na vitu vingine ilimradi mteja usichoke,sasa nenda Halmashauri huko,Hospitali za Wilaya uone kivumbi na watumishi waliokata tamaa ya maisha.Wafanyakazi wa sehemu yoyote iwe serikalini, kwa watu binafsi, vyoo vya manispaa na popote WANAOLIPWA vizuri na wenye marupurupu yooote LAZIMA wafanye kazi kama hao unaowasifia......
mwingine aendeleze hapa chini........
Hivi wewe ndiyo mtu wa kwanza kufika Ikulu na bungeni?Hata hao wa Ikulu wapo njema sana kwenye customer care, nina ushahidi wa Ikulu ya Dar, unakaribishwa vizuri, unafahamishwa taratibu kwa pana, hadi unatamani usiondoke haraka.
Hao ni mashetani wenye asili ya wizi.Wanapaswa kuombewa mfululizo siku saba zikisindikizwa na kufunga kula kwa ajili ya utakaso wao.Mbona huko nssf nk kuna ukiritimba uliopitiliza mkuu, hizo njoo kesho, file halionekani ni mambo ya kawaida sana.
Kwanini umeuliza hivyo?Hivi wewe ndiyo mtu wa kwanza kufika Ikulu na bungeni?
Kwamba sisi hatujawahi kufika?Kwanini umeuliza hivyo?
Nyooka kimaelezo.Kwamba alichokieleza si sahihi?Tupe iliyo kweli mkuu.Kwamba sisi hatujawahi kufika?
Bora unisaidieNyooka kimaelezo.Kwamba alichokieleza si sahihi?Tupe iliyo kweli mkuu.