suala sio nataka kusema,Kwa hiyo hapa unataka kusema kuwa wafanyakazi hawafanyi kazi kwa bidii ndio maana hawaongezewi mishahara?
Kadi ya KURA = mpango mzima !Naona hoja imeibua hasira kali sana.
Kura ndicho kitu pekee kinachotupatia faida ama hasara kwa nchi
Siyo kweli!!! Kama una akili angalia chaguzi ZOTE za Zanzibar na za Bara hasa UCHAFUZI wa 2020.Kadi ya KURA = mpango mzima !
Kichinjio !
Siku hazigandi !KUMBUKA: CCM haitegemei kura ili ishinde kwenye uchaguzi
Inategemea wakurugenzi+ wanajeshi + polisi+ wasimamizi wa vituo hasa walimu (wanatumiwa indirect)
Hata CCM akipata kura 30% na mpinzani wa kwanza akapata 50%
CCM itapita tu kwa 50% za upinzani
Siku hazigandi !Siyo kweli!!! Kama una akili angalia chaguzi ZOTE za Zanzibar na za Bara hasa UCHAFUZI wa 2020.
WAFANYAKAZI wa Tanganyika hawana UJANJA huo inawezekana hata hata anayewatesa hawamjuiAhadi za kupandishwa mishahara halafu kunafuatiwa mlolongo mreefu wa kiwango gani kipande, huku kila msimu wa Bunge viongozi wakijilimbikizia mafao ya kustaafu hiyo si sahihi.
Haya sasa, sheria imepitishwa Bungeni kuwa wenza wa viongozi wastaafu watalipwa mafao, ni wazi HAZINA ipo pesa ya kutosha.
Kikokotoo kimewekwa dhidi ya wavuja jasho wa nchi hii huku wala jasho la wafanyakazi hawahusiki na kikokotoo.
Kadi zenu za Kura ziwakomboe kutoka hili janga la kujitakia lililoasisiwa na CCM.
Uchaguzi mwakani, watawaongezea mshahara kiduchu ili kuwahadaa. Hakuna jipya bali ni hadaa tu.
Silaha kubwa kabisa ya wanyakazi ni migomo. Tatizo ni mfumo wa kimabavu na rushwa ambao hauruhusu hilo kutokea.Mimi nasema watumishi wabamizwe tu tena safi sana akili zitawakaa kupitia shida wametumika sana ktk maisha yao ya kitumishi wametumiwa sana na ccm kiasi kwamba imefikia hatua ccm inafanya itakavyo kwa kuwatumia watumishi na wala haiwaogopi na ccm imetumia vizur sana mwanya wa njaa ya watumishi kuwa hadaa na vijisent kidogo kisha wanawahujum wagombea wengine sasa ngoja nao waisome namba akili zitawakaa mdogomdogo