Hatupp huko acha distortionHii umeokota wapi, maana kwa data zilizopo ni kwamba Tanzania kima cha chini cha mishahara ni mateso mtupu, Tshs 40,000 jameni mtu unaishi vipi hiyo Bongo, umaskini wa kutupwa kabisa huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatupp huko acha distortionHii umeokota wapi, maana kwa data zilizopo ni kwamba Tanzania kima cha chini cha mishahara ni mateso mtupu, Tshs 40,000 jameni mtu unaishi vipi hiyo Bongo, umaskini wa kutupwa kabisa huo.
Hatupp huko acha distortion
Ndio mana huwa nawachukia sana wakenyaWewe ni nani tukusklize wakati serikali yenu yenyewe imesema
![]()
Serikali yatangaza kima cha chini mishahara ya kisekta
Serikali imetangaza viwango vipya vya chini vya mishahara kisekta ambavyo vinatofautiana kati ya sekta moja na nyingine ambavyo ni kuanzia Sh40,000 hadi Sh400,000 kwa mwezi kuanzia Julai Mosi mwakawww.mwananchi.co.tz
Ndio mana huwa nawachukia sana wakenya
Hilo gazeti ni la 2013,lakini unalitumia kujiondolea stress wewe na nyumbu wenzio
Tuliza kitako hicho bintiKima cha chini hicho umekitoa wapi hawa Dada wazo wanafundisha nursery schools hapa bongo uwaulize
270000 minimum wages in tz angalia websites ya TRA
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
I doubt if you know the meaning and the exact use of the word "emotion"!Don't be emotional bro lest you write us another poem.
#wajingahawa, minority i pray.Ndio mana huwa nawachukia sana wakenya
Hilo gazeti ni la 2013,lakini unalitumia kujiondolea stress wewe na nyumbu wenzio
You are a perfect definition of "emotion".I doubt if you know the meaning and the exact use of the word "emotion"!
Yule goalkeeper wa Gor Mahia anatoka wapi kama sio bongo?Hata wachezaji wenu wa mpira wakilala wanaota kuja kuchezea Tanzania ili apate mshahara mnono, uwez kuona hata ckumoja mchezaji wa Tanzania akatamani kuchezea Kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kakangu anaishi househelp kutoka Tanzania amamfanyia sasa one year. Unaposema mshahara haifikii hata wiki mbili unamaanisha nini. Pesa inategemea tu unavyotumia, not how much you earn. Kunao wanapokea hadi Ksh 500k per month na maisha yao haisongi mbele na kuna wanapokea elfu ishirini na wako na maendeleo makubwaOn average a house girl kenya hua wanalipwa sio chini ya 300,000tsh. Wala sio uongo wengine wanaenda zaidi ya hapa, and most of them hua wanakuaga from tz ama uganda: wala siwateti Kenya ni ukweli kabisa, ila mpaka upate huo mshahara ndugu yangu utakayopitia ni story ingine, bila kusahau hio 300,000 tsh hata ukipewa kila kitu kama food and other services haifiki 2 weeks hio hela
As I write this, my brother has a housemaid from Mara region in Tanzania. Mshahara wake elfu kumiMmmmh eti mtanzania akawe house girl Kenya? Lol Kenya yenyewe ni capital of world's housemaids, uarabuni 80% ya housemaids ni wakenya hapo sijaongelea nchi za wazungu
Unapoona Kenya Inaongoza kwa kupokea remittances kubwa ni Pesa za wasugua vyoo na waosha chupi za waarabu hizo, Kenya ni taifa la wavivu sana, kuna wa Kenya wengi wapo tuu wanasubiri punda wa muarabu awatumie pesa Western Union za kutanua
Bruh!!!!Don't be emotional bro lest you write us another poem.
Huna hoja!You are a perfect definition of "emotion".
Mmmmh eti mtanzania akawe house girl Kenya? Lol Kenya yenyewe ni capital of world's housemaids, uarabuni 80% ya housemaids ni wakenya hapo sijaongelea nchi za wazungu
Unapoona Kenya Inaongoza kwa kupokea remittances kubwa ni Pesa za wasugua vyoo na waosha chupi za waarabu hizo, Kenya ni taifa la wavivu sana, kuna wa Kenya wengi wapo tuu wanasubiri punda wa muarabu awatumie pesa Western Union za kutanua
Niko peke yanguHuna hoja!