Drivers hawajatangazaMm ni driver wa magari madogo ila hata hzo general labor duties na fanya.
Sawa nashukuru! Ngoja nimsubiri Waziri wa Kaskazini anpe connection ya kushusha mizigo!Drivers hawajatangaza
Wanataka watu wa safey
Bado mahitaji ya kawaida yatakayomfanya awe nadhifu..Amesema hamna hela nyingine zaidi ya mshahara .Tufanye nauli kwenda kurudi ni 1400 chai 1000 mchana 1500 dinner 1500 maji 1000
1400+1000+1500+1500+1000=6400
6400×30=192,000/=
Lakini kazi ni kazi vijana tusichague
Mleta mada kwa id nyingineBrother nakufata pm inagoma, umeshafanikiwa kupata mtu?