Wafanyakazi WATATU waliopo DAR (vijana smart) Wanahitajika HARAKA iwezekanavyo..

Wafanyakazi WATATU waliopo DAR (vijana smart) Wanahitajika HARAKA iwezekanavyo..

Mkuu laki mbili ndefu
Kina mama Ana mghahawa hapa anawalipa wadadaa kwa siku elf 3000 na wako miezi sita zote hzi
Hiyo elfu 3 kwa siku na bado anakunywa Chai hapo kazini na chakula anakula sio kwa huyu Tapeli
 
Sa1 moja hadi saa 5 ?

Seriously?

Hamna off ?

Laki 2 ? Maisha ya daslam ?

Utawapa lunch na malazi ??

Vijana nawashauri bora kufanya vibarua, ama saidia fundi ,,,, sio kwa huu unyonyaji !

Kuna mda mwajiri anatengeneza mazingira ya kuibiwa kwa lazima !

Mungu tunusuru na hili janga la umasikini
 
Ofisi ipo Dar es Salaam, Kimara inahitaji wafanyakazi watatu vijana "Very Smart Upstairs"

SIFA ZA WAHITAJIKA

-Elimu Form Four Na Kuendelea
-Ujue Kutumia Computer 100%
-Ujue Kingereza Kusoma Na Kuandika (Kuongea achia Wazungu)
-Usiwe Bonge
-Uwe Mwaminifu
-Ujue Customer Care

OFISI INAJIHUSISHA NA NINI?

MOVIE STORE yenye huduma tofauti ndani yake.

UZOEFU NA KAZI (nyongeza)

-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Kuingiza Movie kwa Wateja na anaezijua Movie na Series Kali kwa ajili ya Wateja Atapewa kipaumbele.

-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Uwakala wa Kibenki,Mitandao Ya Simu anaezijua changamoto zake Atapewa Kipaumbele.

Jinsia Wanahitajika : Wanaume Wawili + Mwanamke Mmoja

MSHAHARA : 200,000 kwa mwezi

MUDA WA KAZI :

J3 - Ijumaa : Saa 1 Asubuhi Hadi 5 Usiku

J2 - Saa 4 Asubuhi Hadi 5 Usiku

NOTE : HAMNA OFF wala HAMNA HELA NYONGEZA INAYOTOLEWA KWA MFANYAKAZI TOFAUTI NA MSHAHARA WAKE.

UDHAMINI :

Kwa wanaohitaji Kazi ukija PM Uwe na Barua 3

1.Mdhamini 1 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
2.Mdhamini 2 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
3.Barua yako ya Utambulisho Toka Serikali ya Mtaa.

PM ipo Wazi kwa wahitajk Kazi ni ya HARAKA Kwa Mwenye Sifa na amekamilika Kazi utaanza HAPO HAPO pindi umemaliza wasiliana na mimi.

Asante
Ofisi ipo Dar es Salaam, Kimara inahitaji wafanyakazi watatu vijana "Very Smart Upstairs"

SIFA ZA WAHITAJIKA

-Elimu Form Four Na Kuendelea
-Ujue Kutumia Computer 100%
-Ujue Kingereza Kusoma Na Kuandika (Kuongea achia Wazungu)
-Usiwe Bonge
-Uwe Mwaminifu
-Ujue Customer Care

OFISI INAJIHUSISHA NA NINI?

MOVIE STORE yenye huduma tofauti ndani yake.

UZOEFU NA KAZI (nyongeza)

-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Kuingiza Movie kwa Wateja na anaezijua Movie na Series Kali kwa ajili ya Wateja Atapewa kipaumbele.

-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Uwakala wa Kibenki,Mitandao Ya Simu anaezijua changamoto zake Atapewa Kipaumbele.

Jinsia Wanahitajika : Wanaume Wawili + Mwanamke Mmoja

MSHAHARA : 200,000 kwa mwezi

MUDA WA KAZI :

J3 - Ijumaa : Saa 1 Asubuhi Hadi 5 Usiku

J2 - Saa 4 Asubuhi Hadi 5 Usiku

NOTE : HAMNA OFF wala HAMNA HELA NYONGEZA INAYOTOLEWA KWA MFANYAKAZI TOFAUTI NA MSHAHARA WAKE.

UDHAMINI :

Kwa wanaohitaji Kazi ukija PM Uwe na Barua 3

1.Mdhamini 1 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
2.Mdhamini 2 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
3.Barua yako ya Utambulisho Toka Serikali ya Mtaa.

PM ipo Wazi kwa wahitajk Kazi ni ya HARAKA Kwa Mwenye Sifa na amekamilika Kazi utaanza HAPO HAPO pindi umemaliza wasiliana na mimi.

Asanteni.
Boss naomba kazi hiyo nipo tayari elimu form six na ujuzi wa computer ninao.
 
Yupo Dodoma mwenye uhitaji Boss, ni mtaalamu wa Computer ila sio mtaalamu wa Movie, ni mtaalamu wa mimala ya simu mitandao yote kwa 100%. Ila hana ndugj Dar.
laki mbili utaishia kuwa mwizi mjini.
 
Ofisi ipo Dar es Salaam, Kimara inahitaji wafanyakazi watatu vijana "Very Smart Upstairs"

SIFA ZA WAHITAJIKA

-Elimu Form Four Na Kuendelea
-Ujue Kutumia Computer 100%
-Ujue Kingereza Kusoma Na Kuandika (Kuongea achia Wazungu)
-Usiwe Bonge
-Uwe Mwaminifu
-Ujue Customer Care

OFISI INAJIHUSISHA NA NINI?

MOVIE STORE yenye huduma tofauti ndani yake.

UZOEFU NA KAZI (nyongeza)

-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Kuingiza Movie kwa Wateja na anaezijua Movie na Series Kali kwa ajili ya Wateja Atapewa kipaumbele.

-Ambae amewahi Fanya Kazi ya Uwakala wa Kibenki,Mitandao Ya Simu anaezijua changamoto zake Atapewa Kipaumbele.

Jinsia Wanahitajika : Wanaume Wawili + Mwanamke Mmoja

MSHAHARA : 200,000 kwa mwezi

MUDA WA KAZI :

J3 - Ijumaa : Saa 1 Asubuhi Hadi 5 Usiku

J2 - Saa 4 Asubuhi Hadi 5 Usiku

NOTE : HAMNA OFF wala HAMNA HELA NYONGEZA INAYOTOLEWA KWA MFANYAKAZI TOFAUTI NA MSHAHARA WAKE.

UDHAMINI :

Kwa wanaohitaji Kazi ukija PM Uwe na Barua 3

1.Mdhamini 1 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
2.Mdhamini 2 (Barua yake ya utambulisho toka serikali ya Mtaa)
3.Barua yako ya Utambulisho Toka Serikali ya Mtaa.

PM ipo Wazi kwa wahitajk Kazi ni ya HARAKA Kwa Mwenye Sifa na amekamilika Kazi utaanza HAPO HAPO pindi umemaliza wasiliana na mimi.

Asanteni.
Kuna group ukipost hili tangazo cm itajaa msg hadi ushindwe kusoma maisha ni magumu sana kazi hamna.
 
Acheni kulia ntie life gumu saiv
200k pesa nyingi kabisa izo,watu wanasota kinoma kwa wahindi kule mbagala kampuni ya rasta
tena kule unakula efu 5 tu kwa siku,kazi zake millioni
 
Ningekua kijana sifanyi hiyo kazi hata kama nina sifa. Hiyo kazi kijana utakufa masikini
 
Back
Top Bottom