Habarizenu humu!
Baada ya salamu,naomba niwasilishe changamoto ilionifanya niandike leo, mimi nimuajiriwa kwenye organization ABC, kwa bahati mbaya bado sijakabidhiwa kazi rasmi yaani nipo kwenye kipindi Cha mafunzo, shida iko hapa.
Eneo lakazi nimekuta wafanyakazi wazoefu tu was muda, Kuna baadhi niwazuri was nyoyo lakini wengi e wanakunja kimafanikio,
Yani Kuna wengine kabisa nawaona wananitengenezea njia ilimradi niharibikiwe, bosi anione nuksi.
Mda mwingine nipo na mkufunzi wangu wa kazi Mara ghafla anapatwa na hasira, bila sababu, kwa bahati iliyo nzuri wanaonifanyia haya nimewafahamu, tatizo nikuruka vitimbwi vyao ndio nimeshindwa.
Naombeni msaada wenu, mwenzenu kazi bado naihitaji lakini changamoto ndio hio nawezaje kukwepa hivi vizingiti vyao.
Karibuni:
Baada ya salamu,naomba niwasilishe changamoto ilionifanya niandike leo, mimi nimuajiriwa kwenye organization ABC, kwa bahati mbaya bado sijakabidhiwa kazi rasmi yaani nipo kwenye kipindi Cha mafunzo, shida iko hapa.
Eneo lakazi nimekuta wafanyakazi wazoefu tu was muda, Kuna baadhi niwazuri was nyoyo lakini wengi e wanakunja kimafanikio,
Yani Kuna wengine kabisa nawaona wananitengenezea njia ilimradi niharibikiwe, bosi anione nuksi.
Mda mwingine nipo na mkufunzi wangu wa kazi Mara ghafla anapatwa na hasira, bila sababu, kwa bahati iliyo nzuri wanaonifanyia haya nimewafahamu, tatizo nikuruka vitimbwi vyao ndio nimeshindwa.
Naombeni msaada wenu, mwenzenu kazi bado naihitaji lakini changamoto ndio hio nawezaje kukwepa hivi vizingiti vyao.
Karibuni: