Wafanyakazi wenzangu wananifanyia figisu nifukuzwe kazi

Wafanyakazi wenzangu wananifanyia figisu nifukuzwe kazi

Master SM

Member
Joined
May 29, 2020
Posts
55
Reaction score
54
Habarizenu humu!

Baada ya salamu,naomba niwasilishe changamoto ilionifanya niandike leo, mimi nimuajiriwa kwenye organization ABC, kwa bahati mbaya bado sijakabidhiwa kazi rasmi yaani nipo kwenye kipindi Cha mafunzo, shida iko hapa.

Eneo lakazi nimekuta wafanyakazi wazoefu tu was muda, Kuna baadhi niwazuri was nyoyo lakini wengi e wanakunja kimafanikio,

Yani Kuna wengine kabisa nawaona wananitengenezea njia ilimradi niharibikiwe, bosi anione nuksi.

Mda mwingine nipo na mkufunzi wangu wa kazi Mara ghafla anapatwa na hasira, bila sababu, kwa bahati iliyo nzuri wanaonifanyia haya nimewafahamu, tatizo nikuruka vitimbwi vyao ndio nimeshindwa.

Naombeni msaada wenu, mwenzenu kazi bado naihitaji lakini changamoto ndio hio nawezaje kukwepa hivi vizingiti vyao.

Karibuni:
 
Habarizenu humu!

Baada ya salamu,naomba niwasilishe changamoto ilionifanya niandike leo, mimi nimuajiriwa kwenye organization ABC, kwa bahati mbaya bado sijakabidhiwa kazi rasmi yaani nipo kwenye kipindi Cha mafunzo, shida iko hapa.

Eneo lakazi nimekuta wafanyakazi wazoefu tu was muda, Kuna baadhi niwazuri was nyoyo lakini wengi e wanakunja kimafanikio, Yani Kuna wengine kabisa nawaona wananitengenezea njia ilimradi niharibikiwe, bosi anione nuksi.

Mda mwingine nipo na mkufunzi wangu wa kazi Mara ghafla anapatwa na hasira, bila sababu, kwa bahati iliyo nzuri wanaonifanyia haya nimewafahamu, tatizo nikuruka vitimbwi vyao ndio nimeshindwa.

Naombeni msaada wenu, mwenzenu kazi bado naihitaji lakini changamoto ndio hio nawezaje kukwepa hivi vizingiti vyao.

Karibuni:
roga uondoe kimavi
 
Maisha ni vita mkuu!

Huwa sikubali kushindwa na kumuachia mtu nafasi lakini silaha ni kuwa mkweli na kwenye haki!

Popote ukienda hayo mambo ni kawaida, la muhimu hamna kukata tamaa!

Ishi na hii, maisha ni vita na hakuna hali/kitu chochote kinadumu milele! Pambana
 
Habarizenu humu!

Baada ya salamu,naomba niwasilishe changamoto ilionifanya niandike leo, mimi nimuajiriwa kwenye organization ABC, kwa bahati mbaya bado sijakabidhiwa kazi rasmi yaani nipo kwenye kipindi Cha mafunzo, shida iko hapa.

Eneo lakazi nimekuta wafanyakazi wazoefu tu was muda, Kuna baadhi niwazuri was nyoyo lakini wengi e wanakunja kimafanikio, Yani Kuna wengine kabisa nawaona wananitengenezea njia ilimradi niharibikiwe, bosi anione nuksi.

Mda mwingine nipo na mkufunzi wangu wa kazi Mara ghafla anapatwa na hasira, bila sababu, kwa bahati iliyo nzuri wanaonifanyia haya nimewafahamu, tatizo nikuruka vitimbwi vyao ndio nimeshindwa.

Naombeni msaada wenu, mwenzenu kazi bado naihitaji lakini changamoto ndio hio nawezaje kukwepa hivi vizingiti vyao.

Karibuni:
Je huelewi upesi unachofundishwa?

Fuata taratibu za taaluma yako, na pia taratibu za hiyo taasisi.

Jifunze kwa bidii na haraka, uliza maswali pale usipoelewa hata yakiwaudhi.

Ni kipindi cha mpito, kitumie vizuri.

Hata wakikasirika, wewe kuwa mpole, wape heshima tu.
 
Fikra zako zinazaa hisia za kutojiamini zinapelekea kuwaza ndivyo sivyo.

Jiamini na usonge mbele kama unaeweza unaweza tu.
 
Habarizenu humu!

Baada ya salamu,naomba niwasilishe changamoto ilionifanya niandike leo, mimi nimuajiriwa kwenye organization ABC, kwa bahati mbaya bado sijakabidhiwa kazi rasmi yaani nipo kwenye kipindi Cha mafunzo, shida iko hapa.

Eneo lakazi nimekuta wafanyakazi wazoefu tu was muda, Kuna baadhi niwazuri was nyoyo lakini wengi e wanakunja kimafanikio, Yani Kuna wengine kabisa nawaona wananitengenezea njia ilimradi niharibikiwe, bosi anione nuksi.

Mda mwingine nipo na mkufunzi wangu wa kazi Mara ghafla anapatwa na hasira, bila sababu, kwa bahati iliyo nzuri wanaonifanyia haya nimewafahamu, tatizo nikuruka vitimbwi vyao ndio nimeshindwa.

Naombeni msaada wenu, mwenzenu kazi bado naihitaji lakini changamoto ndio hio nawezaje kukwepa hivi vizingiti vyao.

Karibuni:
Acha kulia lia.


"Go big, or go home".


Usipende sana kulia lia kuomba sapoti sijui wenzako wakusaidie.

This is a fierce world...! Umeomba kazi, umepewa...! Pambana.


Komaa ufanye kazi ya watu at your best, uwe mchapakazi, usiwajali wala usifuatilie sijui wanaokusema, wanaokuwekea vikwazo.


Shida wabongo wengi ni wababaishaji tu, kwa hiyo inawezekana hao wanaokufanyia hivyo wapo kwenye hizo nafasi sio kwa sababu ya uwezo wao, bali kubebwa na vitu kama hivyo, kwa hiyo wanakuona kama tishio.

Sasa wewe komaa na kazi, piga kazi acha kulia lia, usijali sijui nani anaongea nini au anakufanyia nini.


Umeomba kazi umepewa halafu kirahisi kabisa unasema kazi inakushinda kwa sababu ya wazembe wachache?

Hiyo ni kupalilia uzembe.
 
Mkuu kazini hyo kawaida kila mtu anahisi unataka kuchukua nafasi yake hapo unachotakiwa uwe makini sana na kinachofanyika
 
Habarizenu humu!

Baada ya salamu,naomba niwasilishe changamoto ilionifanya niandike leo, mimi nimuajiriwa kwenye organization ABC, kwa bahati mbaya bado sijakabidhiwa kazi rasmi yaani nipo kwenye kipindi Cha mafunzo, shida iko hapa.

Eneo lakazi nimekuta wafanyakazi wazoefu tu was muda, Kuna baadhi niwazuri was nyoyo lakini wengi e wanakunja kimafanikio, Yani Kuna wengine kabisa nawaona wananitengenezea njia ilimradi niharibikiwe, bosi anione nuksi.

Mda mwingine nipo na mkufunzi wangu wa kazi Mara ghafla anapatwa na hasira, bila sababu, kwa bahati iliyo nzuri wanaonifanyia haya nimewafahamu, tatizo nikuruka vitimbwi vyao ndio nimeshindwa.

Naombeni msaada wenu, mwenzenu kazi bado naihitaji lakini changamoto ndio hio nawezaje kukwepa hivi vizingiti vyao.

Karibuni:
Hujasema wanakukwamishaje hasa? Labda ni wasiwasi wako tu..!
 
Changamoto kazini ni kawaida sana.. la msingi umatakiww kujua mbinu za kukabiliana nazo au kuishi nazo. Kushindwa kwako itakuwa ushindi kwao.. kuwa imara songa mbele.
 
Naombeni msaada wenu, mwenzenu kazi bado naihitaji lakini changamoto ndio hio nawezaje kukwepa hivi vizingiti vyao.

Karibuni:
Mpende na kumjali huyo anayekuletea vitimbi, Hakika atabadilika, na kuwa upande wako.

Anayekutendea mabaya, Fanya kinyume chake, Tenda jema kwake.
 
Back
Top Bottom