Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huelewi ulitaka akuchekee?Habarizenu humu!
Baada ya salamu,naomba niwasilishe changamoto ilionifanya niandike leo, mimi nimuajiriwa kwenye organization ABC, kwa bahati mbaya bado sijakabidhiwa kazi rasmi yaani nipo kwenye kipindi Cha mafunzo, shida iko hapa.
Eneo lakazi nimekuta wafanyakazi wazoefu tu was muda, Kuna baadhi niwazuri was nyoyo lakini wengi e wanakunja kimafanikio,
Yani Kuna wengine kabisa nawaona wananitengenezea njia ilimradi niharibikiwe, bosi anione nuksi.
Mda mwingine nipo na mkufunzi wangu wa kazi Mara ghafla anapatwa na hasira, bila sababu, kwa bahati iliyo nzuri wanaonifanyia haya nimewafahamu, tatizo nikuruka vitimbwi vyao ndio nimeshindwa.
Naombeni msaada wenu, mwenzenu kazi bado naihitaji lakini changamoto ndio hio nawezaje kukwepa hivi vizingiti vyao.
Karibuni:
Wakuchukie kwa lipi spesho ulilokuwa nalo?Nilishawai kupata changamoto kama hii ofisini hile ofisi walikuwa wananichukia sijapata ona uzuri nilikuwa the best kwa Boss walifanya kila vibwanga Mimi nikakaza mwisho wa siku walikoma wenyewe na kazi iliwashinda
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Shukran Sana kwa ushauriToa sadaka mungu akufanyie wepesi mambo yako,
Tafuta muhitaji wa sadaka na umpe hela ya kumtosheleza (50-100K sio mbaya), then omba mungu akuepushie na mitihan ikusibuye
UnaonEkana kua na wivu..Kama huelewi ulitaka akuchekee?
Bila wivu,fitina na unafiki maisha hayaendi.UnaonEkana kua na wivu..
Nilikuwa mastermind wa campuni Yao bila Mimi hawaliWakuchukie kwa lipi spesho ulilokuwa nalo?