Wafanyakazi wenzangu wananifanyia figisu nifukuzwe kazi

Toa sadaka mungu akufanyie wepesi mambo yako,
Tafuta muhitaji wa sadaka na umpe hela ya kumtosheleza (50-100K sio mbaya), then omba mungu akuepushie na mitihan ikusibuye
 
Kama huelewi ulitaka akuchekee?
 

Toa sadaka mungu akufanyie wepesi mambo yako,
Tafuta muhitaji wa sadaka na umpe hela ya kumtosheleza (50-100K sio mbaya), then omba mungu akuepushie na mitihan ikusibuye
Shukran Sana kwa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…