Wafariji wa wanawake waliotendwa tunafanya kazi ya Mungu

Kwa hiyo wake za wenyewe hamtaki kuwafariji?

Mnategemea watafarijiwa na nani????
 
Wafariji bwana!

Sijui kwanini ukiwa unamfariji na kumpa kampani mwanamke aliyepata msukosuko fulani later anakuja kukupa papuchi easier kabisa?!
 
tiGo Live it | Love it.

Wakuu mzichunge hizo tiGo kuliko kitu chochote,,, Wahuni wameharibika sana siku hizi,,, fumanizi kidogo tu Futa limefika..

Achaneni na wake za watu... Nawashauri tu...
 
Upo Dodoma mkuu unipigie hiyo pasi mkaa
 
Mwanamke mmoja baada ya kumfariji sana kwa muda mrefu cku aliniuliza unaweza kula ugali miaka 10 bila kubadilisha chakula kingine? Mwanzo wala ckumwelewa ila masaaa yalivyozidi kwenda na mm ufahamu ndio ukafunguka sasa ,wala ckumfanya chochote japo naendelea kumfarij
 
Hiz mambo sio nzuri unaweza jikuta unavunja na mahusiano yako kisa kufariji mtu mwingne
 
Kumbe ndio mnajiita wafariji. Nahisi pia watu wa aina hii wapo wa jinsia zote mbili.

Nimewahi kukutana na mwanadamu ambaye kwa kweli ni entertainer, utapenda. Ilinichukua muda mfupi sana kumzoea na kuanza kucheza mdundo wake.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…