Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho ya mauti ni noma. Hebu soma kifungu hiki.Na wajiangalie, na wao wasije wakauwana baada ya kumuonja
LUKA 20Na wajiangalie, na wao wasije wakauwana baada ya kumuonja
Boss unapenda battle sana😂😂😂na sisiAmesema watu hao walitambulika kwa majina ya Ibrahimu Shaban (21) na Mussa Bakari (28) ambao wamefariki dunia baada ya kupigana kwa kutumia magongo ya miti na kupigana wao kwa wao wakigombea mpenzi.
Cc Accumen Mo Mlolongo adriz kahtaan THE BIG SHOW
MbovuHebu tumwone huyo Mwanamke kama ni pisi kali...ajali kazini
Lazima tupime utamu unaofanya watu wauwane,tujue amewapa kitu kitu gani kinachozid thamani uhaiPolisi buana wanashangaza sana ,watu wamepigana kwa magongo wameuana kwa kumgombania khadija then polisi wanamtafuta binti khadija sijui wanataka wamuone anafananaje labda.
Kama kuchukua maelezo kwa khadija sio kusema kwamba wanamtafuta as if kama yeye ndio aliyewaua.
Lazima tupime utamu unaofanya watu wauwane,tujue amewapa kitu kitu gani kinachozid thamani uhai
Mapenzi ni hisia "Feeling"Nyie mnakufa mnamuacha na utamu wake aiii, pole yao yaani mbususu zote hizi bado unagombania moja, au ilikua imeumbwa na gold tofauti na hizi za nyama tu.🤔
Soma tena thd imeeleza kila kitu.Natamani kujua wameuwanaje kama wote wamekufa
Bila kusahau wanamgombania Bi KhadijaAmesema watu hao walitambulika kwa majina ya Ibrahimu Shaban (21) na Mussa Bakari (28) ambao wamefariki dunia baada ya kupigana kwa kutumia magongo ya miti na kupigana wao kwa wao wakigombea mpenzi.
Cc Accumen Mo Mlolongo adriz kahtaan THE BIG SHOW
BalaaDah! Utelezi umewatelezesha mpaka kuzimu.
🤣🤣🤣Hataree sana The IcebreakerAione Beesmom
😳Kwahiyo ndo ukufe,uueMapenzi ni hisia "Feeling"
Roho ya mauti ni noma. Hebu soma kifungu hiki.
LUKA 20
29Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa, akafa bila kuzaa mtoto. 30Kisha yule wa pili akamwoa huyo mjane, naye akafa bila mtoto, 31naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto. 32Mwishowe, yule mwanamke naye akafa.
Kuna watu wana roho ya mauti, kila anaye ingia kwenye mahusiano naye, anakufa.
Tunataka kupima utamu wa mbususu yake tujue i akjwaje wanaume wauaneSasa kama wamepigana na kuuana wenyewe dada wa watu wanamtafutia nini!!!