Pre GE2025 Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sijui kama umeitumia "vema" neno "kuvamia". Kuvamia ni kwenda mahali kwa fujo na bila watu wa eneo hilo kujua, wala kutoa idhini. Sasa nikiona viti vimepangwa, waandishi wa habari wameitwa, nyimbo zinaimbwa na kuna kundi kubwa la watu, lazima kulikuwa na mpango wa kwenda hapo, na watu wa mahali hapo walikuwa na taarifa au ni wao wenyewe waliotoa mwaliko. Hivyo, huku si kuvamia, bali ni kualikwa.
 
Hata wavamie haisaidii jamani. Hivi wanataka nini mm huwa siwaelewi hali hawa chadema
 
Je yaweza kuwa mchongo wa wale wanaempigia debe kwa manufaa wanayoyajua yamtaa ule kijani?
 
Boni yai kwa matukio aisee dah


Anyways mkutano wa waandishi waandishi wa habari umeitwa kwa makusudio haya
 
Cingwiyemisi wa siasa anaingia kazini sasa, mabaga fresh kazi anayo
 
Sio wanachama wa CDM bali ni genge lake alilo Liunda kwa zaidi ya miaka 20.
Lisu anapaswa awe makini sana na genge la mwenyekiti.
 
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸŽ―πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™πŸ’πŸ›‘οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…