Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Kwa kuwa Chama ni cha Baba Mkwe wake, haoni ulazima wa kumkabidhi mtu wa Kuja (Lissu) kukiongozaKama kweli Mbowe anataka kulinda heshima yake na ushawishi angeachana na habari za kuendelea kuwa mwenyekiti wa hicho chama.
Ikiwa Tundulissu atakubali kumuachia Mbowe uenyekiti wa Chadema kutakuwa hakuna sababu yeye kuendelea Kuwa Chadema.
Machaguo ni mawili kukiua chama Kwa kumrudisha Mbowe au kumpatia Lissu hiyo nafasi ya uenyekiti.
Sioni sababu zozote za Muhimu za Mbowe kuendelea kuwa Mwenyekiti.
Ni hakika anapoteza ushawishi wake wote alioujenga Kwa miaka yote 20 ya Uenyekiti wake