Wafuasi wa CHADEMA walioandamana mitaa ya Mahakama ya Kisutu wadhibitiwa na polisi

the numb 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2020
Posts
1,562
Reaction score
2,902
Hali si shwari katika viwanja vya mahakama ya kisutu hapa getin wandamanaji wa chadema na mabango yao wamekula SMASH za kutosha ila sikuona maana ya kuwakamata kwa maana ni maandamano yasiyokuwa na fujo hapo wengine wameshakula nduki na wanakimbizwa.

Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Wajinga ndio waliwao! Wenzenu wako kwenye Soffa wanadinya Mvinyo, Nyama, wakiwa kwenye Luninga kuubwa curved na Laptop mapajani wakiandika Proposals za kuombea Madolali waendelee kuishi Kidon.

Vikaragosi wachaaaache wasiojua kula yao wanahangaika na maandamano ya kipuuzi. Shithole Demos
 
Hali si shwari katika viwanja vya mahakama ya kisutu hapa getin wandamanaji wa chadema na mabango yao wamekula SMASH za kutosha ila sikuona maana ya kuwakamata kwamaana ni maandamano yasiyokuwa na fujo...
Mbona hakuna nyomi?

tuliambiwa jiji litasimama leo

wale wa mikoani vipiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…