the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
Ngumu kuchangia wakati umeonesha ushabiki wako wa kufurahia mauaji.
mataga huyo hawezi kutuliaHebu tulia kwanza...
Ngumu kuchangia wakati umeonesha ushabiki wako wa kufurahia mauaji.
Mbona hakuna nyomi?Hali si shwari katika viwanja vya mahakama ya kisutu hapa getin wandamanaji wa chadema na mabango yao wamekula SMASH za kutosha ila sikuona maana ya kuwakamata kwamaana ni maandamano yasiyokuwa na fujo...
Inasikitisha
Hebu tulia kwanza...
HIZO CHACHE NENDA TWITTER..Mbona hakuna nyomi?
Udhalimu ndiyo legacy tuliyoachiwa na mwendazakeNgumu kuchangia wakati umeonesha ushabiki wako wa kufurahia mauaji.
Mbona wachache hivyo?....wangeachwa wasikilize kesi
Kwamba umeingia na simu gerezani?Wingi wetu na umoja wetu ndiyo ngao na silaha yetu kuu.
Waandae magereza zaidi.