Wafuasi wa CHADEMA walioandamana mitaa ya Mahakama ya Kisutu wadhibitiwa na polisi

Wafuasi wa CHADEMA walioandamana mitaa ya Mahakama ya Kisutu wadhibitiwa na polisi

Katika hao waliokamatwa ikatokea wamefikishwa mahakamani hakuna atakayewakilishwa na wakili ambaye amepata maelekezo ya chama.
 
Wajinga ndio waliwao! Wenzenu wako kwenye Soffa wanadinya Mvinyo, Nyama, wakiwa kwenye Luninga kuubwa curved na Laptop mapajani wakiandika Proposals za kuombea Madolali waendelee kuishi Kidon.
Vikaragosi wachaaaache wasiojua kula yao wanahangaika na maandamano ya kipuuzi. Shithole Demos
Yaani acha tu kiongozi.....inaaminika kuwa binadamu ni kiumbe mwenye akili sana. Hii ni kweli lkn nawaambia ukiwa na maarifa ya kuichezea akili hiyo nzuri ya binadamu, ni kiumbe mmoja mdhaifu na mpumbavu sana!
 
Ila wamezingua badala mtu atafute rizq yeye anaandamana
hao ndio wajinga kweli.
unakuta mtoto wa mbowe na familia yake mida hii wamekaa kwenye sofa wanaangalia tv wewe mlala hoi Zuzu unachezea kichapo na kuishia mahabusu.
akili ndogo sana , wanatumiwa bila kujitambua, wamejazwa upepo, hapo huwezi kumkuta mke wa Myika wala mke wa mrema,
kuweni na akili acheni kutumiwa.
 
hao ndio wajinga kweli.
unakuta mtoto wa mbowe na familia yake mida hii wamekaa kwenye sofa wanaangalia tv wewe mlala hoi Zuzu unachezea kichapo na kuishia mahabusu.
akili ndogo sana , wanatumiwa bila kujitambua, wamejazwa upepo, hapo huwezi kumkuta mke wa Myika wala mke wa mrema,
kuweni na akili acheni kutumiwa.

Shida ya sisi wabongo ukiongea km hv utasikia ww ni mataga
 
Riziki ya mtu mwingine nini wewe mwenye akili?

Hapo utakuta ww ukiambiwa ukajiunge nao na uhakika utakata utakimbia lkn huku mtandaoni unaleta ujuaji mm sina chama chochote ila mm nipo kweny haki pale panapostahili leo hii unakamatwa upo sero ww unafkr utamlaum nan!?
 
Hapo utakuta ww ukiambiwa ukajiunge nao na uhakika utakata utakimbia lkn huku mtandaoni unaleta ujuaji mm sina chama chochote ila mm nipo kweny haki pale panapostahili leo hii unakamatwa upo sero ww unafkr utamlaum nan!?

Kwanini kiroho safi usitambue kuwa hayupo anayeyahitaji mawazo yako yaliyojaa utopolo mtupu?
 
Wajinga ndio waliwao! Wenzenu wako kwenye Soffa wanadinya Mvinyo, Nyama, wakiwa kwenye Luninga kuubwa curved na Laptop mapajani wakiandika Proposals za kuombea Madolali waendelee kuishi Kidon.
Vikaragosi wachaaaache wasiojua kula yao wanahangaika na maandamano ya kipuuzi. Shithole Demos
Hawana cha kufanya mkuu

wangekua busy wasingehangaika na huo upupu
 
Kwanini kiroho safi usitambue kuwa hayupo anayeyahitaji mawazo yako yaliyojaa utopolo mtupu?

Kwan vipi nnshida!!! mbona hasira asubh yote hii kwanza ushapata chai au ndio unabwabwaja tu usitafute majibizano mm siwez kubishana kwajil ya kitu kisichokuwa na manufaa kwangu ww km unauchungu nenda kapeleke hiyo pua sas mm ndio police niliowakamata!!tumia akili leta coment zenye impact na sio upuuz
 
Kwan vipi nnshida!!! mbona hasira asubh yote hii kwanza ushapata chai au ndio unabwabwaja tu usitafute majibizano mm siwez kubishana kwajil ya kitu kisichokuwa na manufaa kwangu ww km unauchungu nenda kapeleke hiyo pua sas mm ndio police niliowakamata!!tumia akili leta coment zenye impact na sio upuuz

Message sent and delivered - mawazo yako kaa nayo tu mkuu. Asante sana ila hayahitajiki 😂😂😂😂!

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom