KADIDY WA KWANZA
Member
- Aug 5, 2021
- 18
- 9
Mimi binafsi sielewi kabisa kwanini alisimama na kuongea Yale lakini, lakini nilichoelewa ni kwamba alisimama mbele ya umma ili atishie haya maandamano ambayo yamefanyika leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trafiki wenyewe wanabambikia watu kesi kila siku, wakikukamata anaweza kukukomalia sijui tairi kipara au anakuuliza tu unajua kosa lako, na ukizubaa unaadhibiwa kwa kupigwa faini🤣🤸🐒..anasema Polisi huwa hawabambikii kesi.
..Je, Mdude Nyagali hakubambikiwa?...
Kwa ufupi mungu mkubwa..anasema Polisi huwa hawabambikii kesi.
..Je, Mdude Nyagali hakubambikiwa?...
Sirro ni zero, zero kabisaMimi binafsi sielewi kabisa kwanini alisimama na kuongea Yale lakini, lakini nilichoelewa ni kwamba alisimama mbele ya umma ili atishie haya maandamano ambayo yamefanyika leo
Nasubiri kwanza panya wachanjwe halafu nione baada ya miaka 10 kama bado wako vizuri nami nitachanjaVp injinia!we ushapiga chanjo
Ova
Jamaa ni mtu wa ajabu sanaSirro anatumika kama tissue paper. Tissue paper inaweza kutumika kufutia jasho ama kuchambia.
Ha haaa ..😅Kwamba umeingia na simu gerezani?
Kumbe huna kitu kabisa kichwani! Sina muda wa kupoteza na wapuuzi kama wewe.Labda mabadiliko unayoyaona wewe ni hao walioko Ukonga kubebeshwa Mimba na Wababe wa Rumande. Fanyakazi za Kipato chako kwa bidii iinue familia yako otherwise acha kutumika vibaya wewe nyumbu.
Ha haaa ..😅
Huyu kamanda brazaj anasakizia wenzie kwenye wavu na wenyewe wanaingia kichwa kichwa kama msako wa ndezi.
Kisha yeye anatulia home anakula msosi safi anaingia tena mitandaoni kusakizia ndezi wengine huku yeye labda akipata chochote kwa kazi hii.. who knows?
tutakutana kwenye space ya twiiitaaaa kukemea
Unajua Mungu1ni wa ajabu sana. Huwaondolea maarifa mafisadi na maonezi. Pale aliongea kama ngumbaru let alone na kale ka LLB. ANAKORINGIAGAMimi binafsi sielewi kabisa kwanini alisimama na kuongea Yale lakini, lakini nilichoelewa ni kwamba alisimama mbele ya umma ili atishie haya maandamano ambayo yamefanyika leo
Mbona watu hako Ka LLB wanakula nako maandazi tu?Unajua Mungu1ni wa ajabu sana. Huwaondolea maarifa mafisadi na maonezi. Pale aliongea kama ngumbaru let alone na kale ka LLB. ANAKORINGIAGA
Afadhali kula maandazi kuliko kupewa kazi ya kukatumia unageuka zombie au unakuwa funza wa1jalalaniMbona watu hako Ka LLB wanakula nako maandazi tu?
Habari zenu ndugu zangu. Wengi tulisema jana na juzi kuwa hakuna kiongozi hata mmoja atakaekuwa tayari kuweka maisha yake hatarini kwa ajili ya maisha ya mungine, baadhi ya nyumbu wakapinga. Sasa leo ndo mmeamini wenyewe kuwa "kika kila mchuma janga hula na wa kwao". Kama Mbowe amesuswa na vijana wake mwenyewe, sipati picha kwa wale wenzangu na mimi waliopoteza muda wao, na pesa zao kuingia katika mambo au maandamano yasiowahusu. Ni nani atawapigania ili watoke!!!
HahahaNasubiri kwanza panya wachanjwe halafu nione baada ya miaka 10 kama bado wako vizuri nami nitachanja
Ha haaa ..[emoji28]
Huyu kamanda brazaj anasakizia wenzie kwenye wavu na wenyewe wanaingia kichwa kichwa kama msako wa ndezi.
Kisha yeye anatulia home anakula msosi safi anaingia tena mitandaoni kusakizia ndezi wengine huku yeye labda akipata chochote kwa kazi hii.. who knows?