Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Ingekuwa kwenye sekta zetu zile, Mimi Evelyn Salt na Demi tungeshiriki...ila ndo mambo ya akina Pascal Mayalla Mwl.RCT na Yericko Nyerere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hubby kama mshindi anapata pork noah kitimoto ngoja nipambane. Tutaokoa gharama za Noeli ifikapo December.
Mmh yaani hata mimi Mwalafyale unanionea aibu!Duh, Mshana Jr, Extrovert, RRONDO, yaani hao wazee wa magari nawakubali sana.
Halafu Kuna BAK, Emmanuel Kasomi, Mwifwa , Baba Swalehe , Tesla, na watu wengine wengi.
Kwa WANAWAKE Sasa, usije niona player, simtaji hata mmoja
DONALD Pompeo
@Mshana Jr bro pesa nje nje hz kwako!
Sawa usijar.Ukiupata ni mention
Babuuuh plz fanya tumpigie chapuo bibi awe mshindi, afu babuuh shule naenda lin, mwsho wa kuripot n ijumaaa hii, [emoji24][emoji24][emoji24]Mke wangu Sky Eclat ameingiaje kwenye hili kafara la Chato? Mtoe kwenye list kabla sijachukua maamuzi magumu...
Jinsia yako ikibadilika usinilaumu...
Ni mention na mie mommy.Nishakumensheni huko. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kabisaah bibi.Hubby kama mshindi anapata pork noah kitimoto ngoja nipambane. Tutaokoa gharama za Noeli ifikapo December.
Nasema hiviiii USITUTISHEEWakuu hii ishu nimeipokea kwa furaha sana. Jana usiku sijalala usiku kucha nawaza niwajie na idea gani katika shindano letu.
Ila tambueni sisi na wafuatao sio wajinga tutakuja na ID nyingine coz hapa jukwaani tuna ma haters so kwenye kura panaweza pakawa sio Shwari...
Wafuatao najua tuko pamoja tunashiriki na tutapiga zawadi na dunia nzima itajua.
1. Infantry soldier - ndo maana katuaga kidizaini sio mchezo mjipange kumshinda
2. Paschal Mayalla - huyu jamaa naye ni mkali na anajua mengi sana sijui atakosaje
3. Sky eclat - imeisha hio lazima ajipange apambanie kombe
4. Ndege JOHN - huyu kuanzia Leo kwa siku 60 anaanza kusali kwa bidii mwenyezi Mungu amfanye kuwa genius sana apatiwe maono
Uzuri wake kuna mshindi wa kwanza, wa pili ba watatu. Hata sisi wa makarai pia tuna nafasi.Mimi nawasubiria akina bold waweke andiko lao niangalie namna ya kucopy na kupaste maana uandishi wangu umejikita kwenye kumtukana màgufool & the like
Mada zile haziruhusiwi???? Mbona nshaandaa picha za ku attach kwenye hilo andiko langu.Ingekuwa kwenye sekta zetu zile, Mimi Evelyn Salt na Demi tungeshiriki...ila ndo mambo ya akina Pascal Mayalla Mwl.RCT na Yericko Nyerere
www.jamiiforums.com
Yaani kaka Max angeweka na mawazo ya kuhusu yale mambo yetu....Mada zile haziruhusiwi???? Mbona nshaandaa picha za ku attach kwenye hilo andiko langu.
Ni mention na mie mommy.
www.jamiiforums.com
Mjerumani nshakuwekea Link. 🤣🤣🤣Ni mention na mie mommy.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh.Mada zile haziruhusiwi???? Mbona nshaandaa picha za ku attach kwenye hilo andiko langu.
Ewaaaaaah ahsanteeeh San.Mjerumani nshakuwekea Link. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]