Wafuatao ni Wachezaji hatari Kinyota kwa Simba SC Jumapili tarehe 16 Aprili, 2023

Wafuatao ni Wachezaji hatari Kinyota kwa Simba SC Jumapili tarehe 16 Aprili, 2023

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wasipochungwa Kiumakini kabisa na Wachezaji wa Simba SC au Kufungwa Kiutamaduni (Kiswahili) wana 100% za Kutufunga / Kutuadhibu ndani ya dakika 90.

1. Farid Musa
2. Aziz Ki
3. Bernard Morisson
4. Kennedy Musonda

Najua wengi mtashangaa na kujiuliza kwanini GENTAMYCINE sijamtaja Mshambuliaji tegemeo na mahiri wa Yanga SC Fiston Kalala Mayele.

Sijamtaja kwakuwa najua tayari ameshashughuliwa kimkakati (kiutamaduni) hivyo hana/hatokuwa na madhara kwetu kama ambavyo hata Mchezaji tegemeo na mahiri wa Simba SC Clatous Chota Chama kamwe hawezi kuwa tishio na madhara kwa Yanga SC kwakuwa hata yeye pia keshafanyiwa mambo ya kiuswahili na Yanga SC.

Tafadhali naomba nilichokiandaka hapa kizingatiwe mno na watu wa Simba SC walio karibu na timu kwani GENTAMYCINE nimeamua kuvaa mabomu, kujilipua na kuicheza hii Mechi ya Jumapili ndani na nje ya uwanja na mpaka sasa kwa ninayoyafanya na naendelea kuyafanya kwa 100% Simba SC itashinda na wala wana Simba SC wote mlioko hapa JamiiForums msiogope.

Yanga SC anakufa (anafungwa) kwa Mkapa Jumapili tarehe 16 April, 2023.
 
Kinyota: J2 na alhamis ni siku nzuri kwa simba.

kinyota: J5 na j'mosi ni siku nzuri kwetu sisi wana Yanga kwahiyo j2 tukifungwa isiwatishe kagoli katakuwa kamoja tu.
 
Kinyota: J2 na alhamis ni siku nzuri kwa simba.

kinyota: J5 na j'mosi ni siku nzuri kwetu sisi wana Yanga kwahiyo j2 tukifungwa isiwatishe kagoli katakuwa kamoja tu.
Ukifatilia siku za yanga kushinda unweza changanyikiwa mana j pili hua ni siku ya yanga
 
Kinyota: J2 na alhamis ni siku nzuri kwa simba.

kinyota: J5 na j'mosi ni siku nzuri kwetu sisi wana Yanga kwahiyo j2 tukifungwa isiwatishe kagoli katakuwa kamoja tu.
Taratibu sasa wana Yanga SC mlioko JamiiForums mnaanza Kunielewa GENTAMYCINE.

Nasisitiza kuwa iwe isiwe Jumapili tarehe 16 April, 2023 Yanga SC inafungwa na Simba SC Uwanja wa Mkapa.

Wote tunzeni haya maneno yangu.
 
Wasipochungwa Kiumakini kabisa na Wachezaji wa Simba SC au Kufungwa Kiutamaduni (Kiuswahili ) wana 100% za Kutufunga / Kutuadhibu ndani ya dakika 90.

1. Farid Musa

2. Aziz Ki

3. Bernard Morisson

4. Kennedy Musonda

Najua wengi mtashangaa na kujiuliza kwanini GENTAMYCINE sijamtaja Mshambuliaji Tegemeo na Mahiri wa Yanga SC Fiston Kalala Mayele.

Sijamtaja kwakuwa najua tayari ameshashughuliwa Kimkakati ( Kiutamaduni ) hivyo hana / hatokuwa na Madhara Kwetu kama ambavyo hata Mchezaji tegemeo na mahiri wa Simba SC Clatous Chota Chama kamwe hawezi kuwa Tishio na Madhara kwa Yanga SC kwakuwa hata Yeye pia Keshafanyiwa Mambo ya Kiuswahili / Kiutamaduni na Yanga SC.

Tafadhali naomba nilichokiandaka hapa Kizingatiwe mno na sana na Watu wa Simba SC walio karibu na Timu kwani GENTAMYCINE nimeamua Kuvaa Mabomu, Kujilipua na Kuicheza hii Mechi ya Jumapili ndani na nje ya Uwanja na mpaka sasa kwa ninayoyafanya na naendelea Kuyafanya kwa 100% Simba SC itashinda na wala wana Simba SC wote mlioko hapa JamiiForums msiogope Yanga SC anakufa ( anafungwa ) kwa Mkapa Jumapili tarehe 16 April, 2023.
Kaijanangoma alikuwa anapoteza muda bure ikiwa mwanafunzi wake unawaza hivyo
 
Back
Top Bottom