Paz3i
JF-Expert Member
- Oct 11, 2014
- 894
- 1,330
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umepanik bossMama yako Mzazi kunijua Kwake kunatosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umepanik bossMama yako Mzazi kunijua Kwake kunatosha.
I pay someone according to his / her price.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] umepanik boss
Tunza maneno hayaWasipochungwa Kiumakini kabisa na Wachezaji wa Simba SC au Kufungwa Kiutamaduni (Kiswahili) wana 100% za Kutufunga / Kutuadhibu ndani ya dakika 90.
1. Farid Musa
2. Aziz Ki
3. Bernard Morisson
4. Kennedy Musonda
Najua wengi mtashangaa na kujiuliza kwanini GENTAMYCINE sijamtaja Mshambuliaji tegemeo na mahiri wa Yanga SC Fiston Kalala Mayele.
Sijamtaja kwakuwa najua tayari ameshashughuliwa kimkakati (kiutamaduni) hivyo hana/hatokuwa na madhara kwetu kama ambavyo hata Mchezaji tegemeo na mahiri wa Simba SC Clatous Chota Chama kamwe hawezi kuwa tishio na madhara kwa Yanga SC kwakuwa hata yeye pia keshafanyiwa mambo ya kiuswahili na Yanga SC.
Tafadhali naomba nilichokiandaka hapa kizingatiwe mno na watu wa Simba SC walio karibu na timu kwani GENTAMYCINE nimeamua kuvaa mabomu, kujilipua na kuicheza hii Mechi ya Jumapili ndani na nje ya uwanja na mpaka sasa kwa ninayoyafanya na naendelea kuyafanya kwa 100% Simba SC itashinda na wala wana Simba SC wote mlioko hapa JamiiForums msiogope.
Yanga SC anakufa (anafungwa) kwa Mkapa Jumapili tarehe 16 April, 2023.
Najiamini tena 100% kuwa Yanga SC Kesho Jumapili tarehe 16 April, 2023 atafungwa na Simba SC na akijitahidi sana ni Sare / Suluhu.Tunza maneno haya
Muda huu nimeona kamati yao ya hapa mbeya ya mmama mmoja hatari yupo hapa anapanda kosta kuelekea Dar huku akibishana nao jambo fulani.Wasipochungwa Kiumakini kabisa na Wachezaji wa Simba SC au Kufungwa Kiutamaduni (Kiswahili) wana 100% za Kutufunga / Kutuadhibu ndani ya dakika 90.
1. Farid Musa
2. Aziz Ki
3. Bernard Morisson
4. Kennedy Musonda
Najua wengi mtashangaa na kujiuliza kwanini GENTAMYCINE sijamtaja Mshambuliaji tegemeo na mahiri wa Yanga SC Fiston Kalala Mayele.
Sijamtaja kwakuwa najua tayari ameshashughuliwa kimkakati (kiutamaduni) hivyo hana/hatokuwa na madhara kwetu kama ambavyo hata Mchezaji tegemeo na mahiri wa Simba SC Clatous Chota Chama kamwe hawezi kuwa tishio na madhara kwa Yanga SC kwakuwa hata yeye pia keshafanyiwa mambo ya kiuswahili na Yanga SC.
Tafadhali naomba nilichokiandaka hapa kizingatiwe mno na watu wa Simba SC walio karibu na timu kwani GENTAMYCINE nimeamua kuvaa mabomu, kujilipua na kuicheza hii Mechi ya Jumapili ndani na nje ya uwanja na mpaka sasa kwa ninayoyafanya na naendelea kuyafanya kwa 100% Simba SC itashinda na wala wana Simba SC wote mlioko hapa JamiiForums msiogope.
Yanga SC anakufa (anafungwa) kwa Mkapa Jumapili tarehe 16 April, 2023.
Hili timu mnawaza uchawi tuSijamtaja kwakuwa najua tayari ameshashughuliwa kimkakati (kiutamaduni
Kweli ndoto haishindwi kitu endelea kuota huenda ukaota simba amekuwa bingwa.Wasipochungwa Kiumakini kabisa na Wachezaji wa Simba SC au Kufungwa Kiutamaduni (Kiswahili) wana 100% za Kutufunga / Kutuadhibu ndani ya dakika 90.
1. Farid Musa
2. Aziz Ki
3. Bernard Morisson
4. Kennedy Musonda
Najua wengi mtashangaa na kujiuliza kwanini GENTAMYCINE sijamtaja Mshambuliaji tegemeo na mahiri wa Yanga SC Fiston Kalala Mayele.
Sijamtaja kwakuwa najua tayari ameshashughuliwa kimkakati (kiutamaduni) hivyo hana/hatokuwa na madhara kwetu kama ambavyo hata Mchezaji tegemeo na mahiri wa Simba SC Clatous Chota Chama kamwe hawezi kuwa tishio na madhara kwa Yanga SC kwakuwa hata yeye pia keshafanyiwa mambo ya kiuswahili na Yanga SC.
Tafadhali naomba nilichokiandaka hapa kizingatiwe mno na watu wa Simba SC walio karibu na timu kwani GENTAMYCINE nimeamua kuvaa mabomu, kujilipua na kuicheza hii Mechi ya Jumapili ndani na nje ya uwanja na mpaka sasa kwa ninayoyafanya na naendelea kuyafanya kwa 100% Simba SC itashinda na wala wana Simba SC wote mlioko hapa JamiiForums msiogope.
Yanga SC anakufa (anafungwa) kwa Mkapa Jumapili tarehe 16 April, 2023.
Kama kawaida ameshaliwa kichwa.Kweli ndoto haishindwi kitu endelea kuota huenda ukaota simba amekuwa bingwa.