Wafuatao ni warembo waliotwaa Taji la Miss Tanzania ambao sasa wamejitengenezea maisha yao kupitia nguvu ya mashindano hayo

Wafuatao ni warembo waliotwaa Taji la Miss Tanzania ambao sasa wamejitengenezea maisha yao kupitia nguvu ya mashindano hayo

Hoyce Temu hajaolewa mkuu.
ukiangalia list ya nyuma kabla ya wema wengi unaona waliajiriwa UNDP sijui wapi sehemu za maana maana. Sema waliofuatia sasa baada ya Wema unabaki kushika kichwa.


yeah hoyce alizaa tu na yule mbaba
 
Nimeanza mjua huyu dada niko Primary na nilikua nampenda hasa ule weusi wake. Mara ya mwisho nilikutana nae kwenye harusi nikaona kama anatumia kitu hana weusi kama ule wa zamani
i knw her wakat anasoma iringa nilikua napanda naye bus 1 enzi hizo scandnavia bas mie kashambaaaa namwangaliaaa hakuaga na dharau...
 
Nimeanza mjua huyu dada niko Primary na nilikua nampenda hasa ule weusi wake. Mara ya mwisho nilikutana nae kwenye harusi nikaona kama anatumia kitu hana weusi kama ule wa zamani


😊😊natural iachie misitu..lol amekosea sana ..alikua na tujicho tutraaam
 
Hoyce Temu hajaolewa mkuu.
ukiangalia list ya nyuma kabla ya wema wengi unaona waliajiriwa UNDP sijui wapi sehemu za maana maana. Sema waliofuatia sasa baada ya Wema unabaki kushika kichwa.
Yeye wema ameajiriwa kisutu maana haishiwi matukio
 
Back
Top Bottom