Wafuatao ni warembo waliotwaa Taji la Miss Tanzania ambao sasa wamejitengenezea maisha yao kupitia nguvu ya mashindano hayo

Wafuatao ni warembo waliotwaa Taji la Miss Tanzania ambao sasa wamejitengenezea maisha yao kupitia nguvu ya mashindano hayo

Mnoo. Na ana nyota na wabunge. Si wajua ndoa yake ya kwanza aliolewa na yule mbunge ambae sasa hivi kafilisika kuna video yake fulani anaomba msaada kwa rais amsaidie matibabu


duh yupo huyo mbunge?😊unadhan nafatiliaga habari za maceleb? so MB ndo anaomba msaada au mbiki
 
Mnoo. Na ana nyota na wabunge. Si wajua ndoa yake ya kwanza aliolewa na yule mbunge ambae sasa hivi kafilisika kuna video yake fulani anaomba msaada kwa rais amsaidie matibabu
Mbunge gani huyo aliyefilisika
 
Its a good analysis kwa MISS HAO WAKO CATEGORY MBILI TOFAUTI ...
1,Farafa Kotta (Mrs Mh Nyalandu) na Jeniffer John (Mrs Inno Bashungwa na Saida Kessy wako category tofauti na ndoa zao safi…. plus Mwanukuzi majuzi…..
2, Group la pili wema na wengine sema wazi wana utata,,,,,tuseme ukweli hapa hahaha,,,,
Juzi Jackliene mbona hakuja kuaga mke Mkubwa hahaha
Jacklyn itakua aibu mkuu
 
Mbona hujamtaja julitha..miss wa viti maalumu according to Mange [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...

Ila hata leo Happiness Magesse anabaki kuwa miss Tanzania bora kuwahi kutokea ambaye amefanikisha mambo makubwa kuliko wote ... alishinda the first ever BET humanitarian award kupitia campaign yake ya endometriosis na bado anaheshimka Afrika nzima na ndo maana anachaguliwa kuwa judge kwenye competitions kama hizo.. alikuwa katika list ya Tanzania icons na bado ni model anayefanya poa na heshima yake ipo juu
..
Im in love with the old lady's biography..
kuanzia 2005 walianza kupatikana mamiss kwa kigezo cha kumpa uroda ludenga
 
genevieve mpangala hakuwahi kumaliza chuo huko st augustino

maana mwaka 2015 alijiunga na CBE dar campus akichukua bachelor degree in marketing lakin aliishia mwaka wa pili baada ya vimeo kumzidia

UMISS TANZANIA ULIPEWA GUNDU BAADA YA WEMA SEPETU KUSHINDA

waliofata baada ya wema wote hawajulikani hata wanafanya nini zaidi ya kudanga tu hapa mjini
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom