Wafuatao wamehujumu Tanganyika? Warudishe mabilioni waliyolipwa! Dini inasemaje kula mali ya maskini na yatima

Wafuatao wamehujumu Tanganyika? Warudishe mabilioni waliyolipwa! Dini inasemaje kula mali ya maskini na yatima

Siyo kwamba wanatuona majuha. Sisi ni majuha kweli.

Hukuona kipindi kile mtu ni mbunge kupitia chama cha upinzani anajivua ubunge halafu anagombea u unve kupitia ccm. Na majuha yakamchagua mtu kama huyu.

Au juzi juzi huko Mbeya mbunge wa viti maalumu kajivua ubunge akaenda kugombea ubunge. Na majuha yanamsikiloza mtu kama huyu!!!?

Akina Halima Mdee walipaswa kuwa marehemu muda huu kama kweli tusingekuwa majuha.
Uoga mkuu
 
Siyo kwamba wanatuona majuha. Sisi ni majuha kweli.

Hukuona kipindi kile mtu ni mbunge kupitia chama cha upinzani anajivua ubunge halafu anagombea u unve kupitia ccm. Na majuha yakamchagua mtu kama huyu.

Au juzi juzi huko Mbeya mbunge wa viti maalumu kajivua ubunge akaenda kugombea ubunge. Na majuha yanamsikiloza mtu kama huyu!!!?

Akina Halima Mdee walipaswa kuwa marehemu muda huu kama kweli tusingekuwa majuha.
Umenena, tena kwenye kampeni mpaka mtu anauwawa kwa risasi na hatujali tunajali kumpa mkolono mweusi ofisi.
 
Mzee mdee pekee alilamba b10 kwa kuwezesha huu uharamia kufanikiwa. Ndiyo maana alilia sana dhalim alipokata moto.
Mzee Mdee amenunua appartment nyingi Kawe-Dar es salaam, inasemekana amefungua kampuni ya usafirishaji na malori mengi .
Mzee Mdee ni kati ya watu wanaosemekana walionunua Bond za BOT za muda mrefu.
Hizi milioni 16 za kila mwezi wanazotunyonya ni nogo sana, Jiwe aliwalipa hela nyingi sana!
 
Back
Top Bottom