- Thread starter
- #221
Tumekawizwa sana, polepole atatuchelewesha, tunahitaji speed.Polepole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumekawizwa sana, polepole atatuchelewesha, tunahitaji speed.Polepole
Sifa ya miujiza haujatajwa hapo kati ya hizo nne.Gwajima tena. Dah? Mzee wa miujuza ya michongo
Hayo umeyatoa wapi?Tundu Lissu akifanikiwa URaisi, ataiingiza Tanzania kwenye Historia ya Dunia na Gueness Books of Record, kuwa Nchi ya Kwanza Africa kuteuwa Mawaziri MASHOGA, na ata Bariki na kuifanya Sheria ya NDOA ZA NJISIA MOJA kutumika TZ. Pia ataueneza ukabila, kwani hatateu Waziri au KIONGOZI yoyote mwenye ASILI YA KISUKUMA.
Kwamba tangu alipofariki watu wameacha kupotea?Maviatu ya kumwaga damu na kujenga chuki kwa Watanzania hatuyataki. Peleka Chato huko mkazikwe naye.
Huyu Magufuli alikataliwa na Mungu lakini wajinga bado mnamfagilia??
Hivi angekuwa hai unadhani watu wangapi wangekuwa wamepotea kwa sasa. Tanzania ingekuwa jehanam
Sasa hii nchi si kichwa cha kujifunzia kunyoa?Mpaka Gwajima!!!
CCM halijatajwa katika Uzi. By the way Lissu Si CCM.MATUMAINI KUWA CCM ITALETA MABADILIKO KATIKA MAISHA YA WATANZANIA NI NDOTO, HATA MIRADI YA MWENDAZAKE NI KAMA UCHOCHORO TU WA WAJANJA KUTAFUNA KODI ZA WATANZANIA
Sifa nne kuu zilizoainishwa hapo juu anazo au Hana?Sasa hii nchi si kichwa cha kujifunzia kunyoa?
Umeharibu ulipoingiza maneno "sisi" na "ukanda".Kasim na Mpango , wameshindwa kuonyesha Uwezo wao sasa, kwamba wametulia ili waje wauonyeshe baadae ??.
Hamna anayefaa kua Rais hapo.
Lissu, atahitaji kutaka kufatilia Suala lake , hivo Roho ya kisasi inaweza kuhatarisha usalama wa Nchi.... HAFAI.
Kwa Ufupi, Rais akitokea Kanda ya Ziwa, lazima aivushe Nchi, sisi ni watu wa kujiamin, Uthubutu, hatuyumbishwi, Wazalendo, tuna maono, na wasomi !!.
Bora tumpe makonda, huyo majaliwa kazi yake ni kupaka piko kichwani na kushinda saluniHapo umepatia mmoja tu Kassim Majaliwa.
Hao wengine ni wachumia tumbo tu
Lissu pekee na Gwajiboy kwa mbaaaliSifa nne kuu zilizoainishwa hapo juu anazo au Hana?
Tuanzie hapo.
(Hesabu 23:23.)Unerogwa wewe
Kwani huwapendi maaskofu?Huyo askofu ameharibu orodha yote
Jadili hizo sifa huyo unayesema anafaa, anazo?Huyo ndiyo anafaa kabisa
Kashaleta meli za uvuvi kawe? Watu wa kawe washaanza kwenda birmingham.Jadili hizo sifa huyo unayesema anafaa, anazo?
Jenga HOJA basi kama unaweza ukihusisha sifa kuu nne hapo juu🙏Kashaleta meli za uvuvi kawe? Watu wa kawe washaanza kwenda birmingham.
Gwaji ni tapeli tu
Wachache msio na uchungu na nchi yenu ndio hamtakWengi hatutaki
Nchi hii imejaa wapuuz na wajinga wengi mno bas tuKweli kabisa,
Magu hakuwa hakuwa amejenga JNHP lakini hapakuwa na Giza kama Leo.
Na waliotajwa walikuwa naye na vision yake waliijua,
Apewe nafasi mmoja akamilishe KAZI.
Nani anataka mambo ya kutekana na kuuana kama jiweWachache msio na uchungu na nchi yenu ndio hamtak