Aise hayati JPM alikuwa mkali hatari.
alikuwa akifoka akiwa Dar mwisho wa reli haja ndogo inawatoka........
Ila wabongo tumezoea kusukumwa bila mjeledi hatwedi.....
wengi wao wanawaza kuiba tu...........
Ukali kwenye mambo ya msingi ni muhimu sana, ukali na kukemea.
alikuwa akifoka akiwa Dar mwisho wa reli haja ndogo inawatoka........
Ila wabongo tumezoea kusukumwa bila mjeledi hatwedi.....
wengi wao wanawaza kuiba tu...........
Ukali kwenye mambo ya msingi ni muhimu sana, ukali na kukemea.