Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Jinsi jiwe lilikuwa katili bora wasivivae viatu vyake.

Hatutaki tena habari za watu wasiojulikana, kuokota viroba vyenye miili ya watu waliouawa, kutekana, kutotaka kukosolewa, siasa za visasi
 
Jinsi jiwe lilikuwa katili bora wasivivae viatu vyake.

Hatutaki tena habari za watu wasiojulikana, kuokota viroba vyenye miili ya watu waliouawa, kutekana, kutotaka kukosolewa, siasa za visasi
Wengne hzo habar ndio tunazitaka ,upumbavu wa kutuweka giza kama tupo kuzimu wa nn!? Maisha kuwa juu ,nchi kuduma ya nn yte hayo bora muokotwe tu kwenye hayo maroba kama ninyi ndio mnatukwamisha
 
Jinsi jiwe lilikuwa katili bora wasivivae viatu vyake.

Hatutaki tena habari za watu wasiojulikana, kuokota viroba vyenye miili ya watu waliouawa, kutekana, kutotaka kukosolewa, siasa za visasi
Hizo sifa mbaya hazijatajwa hapo.

Zimetajwa 4 tu muhimu,

Uzalendo, uthubutu, Uchapakazi na vision.

Acha nongwa.
 
Wengne hzo habar ndio tunazitaka ,upumbavu wa kutuweka giza kama tupo kuzimu wa nn!? Maisha kuwa juu ,nchi kuduma ya nn yte hayo bora muokotwe tu kwenye hayo maroba kama ninyi ndio mnatukwamisha
Kweli kabisa,

Magu hakuwa hakuwa amejenga JNHP lakini hapakuwa na Giza kama Leo.

Na waliotajwa walikuwa naye na vision yake waliijua,

Apewe nafasi mmoja akamilishe KAZI.
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241].

Karibuni[emoji120]

Kassimu na gwajima
 
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
Huyu toa kabisa tupa kule.
Hana uzalendo wowote, kujikomba kwa wazungu siyo uzalendo.
Uchapakazi ameutoa wapi? Amechapa wapi kazi tukaona?
Hatuwezi kuwa na rais ambaye utengamano wa uwezo wake wa kufikiri hutegemeana na majira ya mwezi. Mwezi ukiwa kona tunaongozwa na zezeta?
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Polepole
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241].

Karibuni[emoji120]
Unerogwa wewe
 
Back
Top Bottom