Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wapo 4 hapo juu,

Vp kuhusu Kassim Majaliwa, Philip Mpango na Tundu Lisu?
 
Aliyechukua hatua ya kuyazuia ni Mzalendo Philip Mpango.

Kodi ilipolipwa, yakaachiliwa.

Pia kumbuka, Magu haujadiliwi hapa, zinajadiliwa sifa njema 4 alizokuwa nazo Magu kuwahusisha watu 4 hapo juu.

Jikite kwenye mada.
Ana sifa gani Magu za kujadiliwa? Mtu wa hovyo kabisa aliyepata Urais sababu ya mgongano tu wa kambi ya Lowassa na Kikwette lakini kwa ujinga wake akajifanya mjuaji kumbe ni mshamba tu kutoka Kolomije ya Chato.
 
Sitakujibu sababu unatutoa kwenye mada.

Ahsante Kwa mchango wako 🙏
Na usinijibu ndiyo vizuri. Hatuwezi kuacha mada kama hizi zipite za kumtakasa Dikteta aliyekataliwa na Mungu
 
Ondoa Gwajima weka Hussein Mwinyi
Wanzenj tayari wanalalama visiwa viwili kupewa wageni kama ilivyokuwa loliondo, na bandari zetu.

UZALENDO ukikosekana, tunatakiwa kumuua nyani pasi kumwangalia usoni!!
 
Wapo 4 hapo juu,

Vp kuhusu Kassim Majaliwa, Philip Mpango na Tundu Lisu?
Majaliwa hata u-PM kwa 2025-30 hatakuwapo. Hakuna PM zaidi ya Nyerere ambaye amewahi kuwa Rais wa Tanzania toka tupate uhuru.

Ukiwa PM unakuwa exposed sana weaknesses hivyo kuna namna unakuwa siyo favourable kuwa Rais. Kuna namna unakuwa umechokwa au unaonekana na wewe ulikuwa Rais kwenye utawala unaotoka.

Mpango kwanza hana kiu ya kuwa Rais, pili afya yake bado mgogoro na tatu yawezekana ni mzaliwa wa Burundi.
 
Mbona husemi kumhusu Tundu Antipas Lissu 😀?
 
Toa maoni Yako kumhusu Tundu Lisu,

1. Ana maono?

2. Ni mzalendo?

3. Ni mchapakazi?

4. Ni mwenye uthubutu na msimamo usioyumba?

Karibu.
 
Gwajima huyu wa kupeleka wati Birmingham USA wa kufikirika acha mzaha wa hovyo
 
Gwajima huyu wa kupeleka wati Birmingham USA wa kufikirika acha mzaha wa hovyo
Sifa hiyo ya kupeleka watu Birmingham USA haikutajwa hapo!!

Ingekuwa kheri kwako ukajadili ikiwa,

1. Ni mzalendo au la.

2. Ana maono au la.

3. Ni mchapakazi au la

4. Ni mthubutu & mwenye msimamo usioyumba au la!!

Karibu ndugu.🙏
 
Gwajima kamua kufungua uzi apime upepo!
 
Mbona husemi kumhusu Tundu Antipas Lissu 😀?
Lissu anapaswa kuwa Waziri Mkuu wa Rais fulani lakini kwa nafasi ya Urais HAPANA. Lissu hawezi kuwa Rais. Lissu ni mtu tu wa kutumwa na kutekeleza. Nina ushahidi wa kauli zake nyingi kabla hajapigwa risasi na baada ya kupigwa risasi.

Urais unahitaji mtu mwenye utulivu wa akili, busara na asiye na ghadhabu. Kwenye uongozi tofauti ya Lissu na Magufuli ni ndogo sana.

Kama CHADEMA inaweza kutoa kiongozi mzuri basi ni Mbowe anazo qualities zote. Lakini ni mfanyabiashara. Atatumia fursa zote kujitajirisha kama anavyofanya na fedha na raslimali za chama. Wakishindwa basi John Mnyika
 
Gwajima kamua kufungua uzi apime upepo!
Gwajima TAPELI tu anayetumia udhaifu wa watanzania wenye imani nyepesi. Anasema yeye ni askofu wa ufufuo na uzima, ila akashindwa kumfufua Magufuli aliyempa ubunge wa Kawe.
 
Mbona unafurahia Ujinga?
Aiyo kufurahia ndugu yangu. Kuna watu wana maneno balaa. Yaani mama mtu alienda kukesha kwenye mbio za mwenge,akapigwa mimba huko huko. Huenda na mwenye mimba akawa hajulikani sasa.
 
Yeye Kafia madarakani wewe utafikia kwenye kiuno Cha mwaume mwenzio

Nyie wapumbavu amjawahi fiwa na wazazi? Mnadhani kifo ni hukumu?

Atakua jamaa alikutoa marinda hapo ujenzi unalialia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…