- Thread starter
- #301
Wapo 4 hapo juu,Ndiyo ujue kuwa mtoa thread @rabbana akili ya mende. Kweli tapeli wa Biblia Gwajima anamfikiria kwenye Urais wa Tanzania? Huyu hata ubunge wa Kawe mwaka 2025 hachukui form kwa sababu anajuwa hatakatiza. Halafu mpumbavu mmoja anaanzisha thread ya kuwa Gwajima ni presidential prospect. Rubbish
Vp kuhusu Kassim Majaliwa, Philip Mpango na Tundu Lisu?