Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Namba 4 ondoa kabisa, ogopa tapeli!
 
mipango na kwajina ni scam, WALAU MAKONDA JAPO UKWEL MCHUNGU
 
Naibu Waziri Mkuu
 
unataka kusema ni mchumia tumbo, ? nu navo muona akipewa nyazifaa atawageuka wenzie na kuwa kama mwendazake
Nchi hii ni tegemeo la mataifa mengi katika mengi.

Si sawa kulinganisha Nabii Magu na Kijana, hatoshi.
 
Kuna mpango wa kupotosha watu. Hapo ni majaliwa na mpango tu wenye sifa za kimagufuli. Lissu ni takataka kibaraka wa uliberali wa nchi za magharini. Gwajima ni mropokaji na tapeli wa kidini. Wananchi wa tanzania wana kiu kubwa ya uongozi wa kimagufuli na wahuni wote wanajua. Kwa hivyo umma wa wananchi wawe macho wasije kuwekewa mapandikizi.
 
Maoni Yako yaheshimiwe, ndomana wakawepo wanne Ili aje mmoja.

Namba tatu yupo kimkakati zaidi.
 
Mawazo yangu,namba mbili ningeifanya moja,na namba nne ningeifanya mbili,then tatu na ya kwanza nne.
ni mawazo yangu lakini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ