nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Kwa sasa huwezi elewa 👍Fafanua. Ushirikina kivipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sasa huwezi elewa 👍Fafanua. Ushirikina kivipi?
Huna HOJA 😀Kwa sasa huwezi elewa 👍
Namba 4 ondoa kabisa, ogopa tapeli!Salaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO/VISION.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Jasusi Toka Mbinguni Hilo😀Namba 4 ondoa kabisa, ogopa tapeli!
mipango na kwajina ni scam, WALAU MAKONDA JAPO UKWEL MCHUNGUSalaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO/VISION.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Huyo kijana Hana Uadilifu wowote.mipango na kwajina ni scam, WALAU MAKONDA JAPO UKWEL MCHUNGU
Naibu Waziri MkuuSalaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO/VISION.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Hayumo kwenye list.Naibu Waziri Mkuu
unataka kusema ni mchumia tumbo, ? nu navo muona akipewa nyazifaa atawageuka wenzie na kuwa kama mwendazakeHuyo kijana Hana Uadilifu wowote.
Basi sawaHayumo kwenye list.
Nchi hii ni tegemeo la mataifa mengi katika mengi.unataka kusema ni mchumia tumbo, ? nu navo muona akipewa nyazifaa atawageuka wenzie na kuwa kama mwendazake
Kuna mpango wa kupotosha watu. Hapo ni majaliwa na mpango tu wenye sifa za kimagufuli. Lissu ni takataka kibaraka wa uliberali wa nchi za magharini. Gwajima ni mropokaji na tapeli wa kidini. Wananchi wa tanzania wana kiu kubwa ya uongozi wa kimagufuli na wahuni wote wanajua. Kwa hivyo umma wa wananchi wawe macho wasije kuwekewa mapandikizi.Salaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO/VISION.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Maoni Yako yaheshimiwe, ndomana wakawepo wanne Ili aje mmoja.Kuna mpango wa kuposha watu. Hapo ni majaliwa tu na mpango tu wenye sifa za kimagufuli. Lissu ni takataka na gwajima ni mropokaji na tapeli wa kidini. Wananchi wa tanzania wana kiu kubwa ya uongozi wa kimagufuli na wahuni wote wanajua. Kwa hivyo umma wa wananchi wawe macho wasije kuwekewa mapandikizi.
ebu yataje hayo mataifa kwa nyongezaNchi hii ni tegemeo la mataifa mengi katika mengi.
Si sawa kulinganisha Nabii Magu na Kijana, hatoshi.
Mawazo yangu,namba mbili ningeifanya moja,na namba nne ningeifanya mbili,then tatu na ya kwanza nne.Salaam, Shalom!!
Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.
Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,
1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.
2. UZALENDO.
3. UCHAPAKAZI.
4. MAONO/VISION.
Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.
1. KASSIM MAJALIWA
2. PHILIP MPANGO.
3. TUNDU ANTIPAS LISSU.
4. JOSEPHAT GWAJIMA.
Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.
Karibuni🙏
Kupata kiongozi Bora ccm ni Sawa na kusubiri boti airport mfumo unawakatazaUsifungwe na vyama katika kumpata kiongozi Bora.