Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Hii Nchi ili iendelee inahitaji mtu anayelewa how the government works both internally & internationally kuna ma gap mengi sana kiutendaji ndani ya Nchi.

mtu pekee ambaye anaweza akawa na ufanisi katika kazi hii ni ambaye alisha wahi kuwa mtumishi wa umma Katika Wizara za kisekta -lakini hawa wanaotoka sijui kwenye ualimu au chama it will take years.
ADr.Mpango anaweza akafaya kitu,ingawa hana hulka ya ukali,so bado utakuwa unamwaga maji Baharini.
 
Mpango anafaa sana,kuna mwingine hujamuweka kwenye list ila ni president material kabisa
Huyo mwingine, miguu yake midogo,

Asubiri akikua. Natania lakn😀

Mchango wako unaheshimiwa.
 
Hii Nchi ili iendelee inahitaji mtu anayelewa how the government works both internally & internationally kuna ma gap mengi sana kiutendaji ndani ya Nchi.

mtu pekee ambaye anaweza akawa na ufanisi katika kazi hii ni ambaye alisha wahi kuwa mtumishi wa umma Katika Wizara za kisekta -lakini hawa wanaotoka sijui kwenye ualimu au chama it will take years.
ADr.Mpango anaweza akafaya kitu,ingawa hana hulka ya ukali,so bado utakuwa unamwaga maji Baharini.
Mpango Hana hulka ya ukali?

Muulize Mwigu au Mwenezi wa CCM!!
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya ya na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241].

Karibuni[emoji120]
Wewe lazima utakuwa umetumwa na Gwajima tu. Katika hali ya kawaida huwezi kuleta list ya aina hii. Mpango au Majaliwa ni viongozi wa juu ktk serikali iliyopo, kuna lipi jipya walilonalo litakaloivusha nchi?
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya ya na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241].

Karibuni[emoji120]
Hapo sijaona ni mmoja tu anayeweza kuvaa viatu hivyo naye ni PAUP MAKONDA
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya ya na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏


Kuna sababu gani za viatu vya kikatili vya Magufuli kuvaliwa? Wa Tanzania ni watu wa hovyo sana.
 
Wewe lazima utakuwa umetumwa na Gwajima tu. Katika hali ya kawaida huwezi kuleta list ya aina hii. Mpango au Majaliwa ni viongozi wa juu ktk serikali iliyopo, kuna lipi jipya walilonalo litakaloivusha nchi?
Sijatumwa na yeyote.

Yaani nitumwe na watu 4 tofauti?

Tundu Lissu hujamwona hapo naye kanituma?
 
Philip Mpango hafai, hii nchi haitaki kuongozwa na watu wa namna yake, ni mpole mno.

LISSU ni mwanaharakati, hafai kuwa raisi.

GWAJIMA hafai hata kidogo, kwanza umetumia vigezo gani kumuweka hapo?

KASSIM✅️
 
Back
Top Bottom