Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wafuatao, wanaweza kuvivaa viatu vya Magufuli na vikawaenea

Wewe kama nani bhana,acha kuleta mikwara hewaaa [emoji1787]
Nimekwambia,

Ponapona ya CCCM 2025 ni kuja na mgombea mpya,

Tofauti na hapo,

Upinzani utawala Nchi Kwa mara ya kwanza.
 
Kwani umeelewaje neno " viatu vya magufuli"?

Nimeainisha kabisa sifa pekee na upande nilipoamua kumzungumzia Magu,

Coin Ina pande mbili,

Lissu mwenyewe amekiri wazi kuwa, Magu alikuwa Mzalendo, kamwe asingeshiriki Kugawa Bandari zetu Kwa wageni!!

Umekuwaje?
Hivyo ukaamini Lissu anamtambua Magufuli kama wewe unavyomuona? Unazijua political gimmmicks?

Kusanya maoni yote ya Lissu kumhusu Magufuli kisha jaribu kumfikishia hivyo “viatu vya Magufuli” avijaribu uone mtakavyoelewana.
 
Hivyo ukaamini Lissu anamtambua Magufuli kama wewe unavyomuona? Unazijua political gimmmicks?

Kusanya maoni yote ya Lissu kumhusu Magufuli kisha jaribu kumfikishia hivyo “viatu vya Magufuli” avijaribu uone mtakavyoelewana.
Lissu yupo hapo kwenye list Kwa sifa tajwa hapo juu,

Nimekuuliza Lissu Hana UZALENDO?

Hana Uthubutu?

Hana Maono?

Hana misimamo isoyumba?

Yote hujajibu.
 
Haya ni matumaini siyo mipango.
Ndio nakuambia,

Hayatatimia nilitosema ikiwa Mungu hajasema,

Lakini ikiwa ni Kweli aliyesema hayo ni Mungu mwenyewe,

Neno lake lazima litasimama.
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Afadhali Majaliwa na Mpango wanaweza kujaribu, hao wawili wa mwisho nawaona kama wavuta bangi tena ya Arusha na kuna mmoja wakati wa serikali ya awamu ya nne alionyesha chuki za wazi dhidi ya uislamu na waislamu.
 
Ndio nakuambia,

Hayatatimia nilitosema ikiwa Mungu hajasema,

Lakini ikiwa ni Kweli aliyesema hayo ni Mungu mwenyewe,

Neno lake lazima litasimama.
Hapa sasa unaingiza masuala ya imani.. Anyway mambo ya imani siwezi kuhoji maana hata mungu wako simjui, pambana boss. Ukiwa na mipango nje ya masuala ya imani tujadili.
 
Msukumaaa anaweza sema shulee nayo changamotooo.. Inferiority complex inaweza kuwa tatizo
 
Hapa sasa unaingiza masuala ya imani.. Anyway mambo ya imani siwezi kukubishia maana hata mungu wako simjui, pambana boss. Ukiwa na mipango nje ya masuala ya imani tujadili.
Sina mpango wowote zaidi ya kusikia sauti na maelekezo ya Mungu muumba wa Mbingu na Nchi juu ya Tanzania.
 
Sina mpango wowote zaidi ya kusikia sauti na maelekezo ya Mungu muumba wa Mbingu na Nchi juu ya Tanzania.
Kusikiliza sauti si mpango. Masuala ya imani ni magumu kidogo, hatutafikia muafaka. Hapa nikikuuliza tu mungu unayemuongelea aliyeziumba mbingu na nchi amekuelekeza uabudu dini ipi na ina uhusiano gani na ccm na upinzani tutazua mjadala mwingine.
 
Tusubiri,

Tuone kati Mungu na wanadamu, yupi mwenye mamlaka ya juu kuliko mwingine.


Ntakupa somo moja utalitumia madhabahuni kwako.

Kuhusu aina za sauti.

1) sauti MTU binafsi
2)sauti ya ushawishi
3) sauti ya maana.

Nadhani hili litakutoa gizani.
 
Uraisi siyo sweet dreams,na kwa mfumo upi wa kuwachagua?
Ukiondoa Mwalimu Nyerere tumekuwa tunapata surprise ya viongozi wakuu,labda Kikwete alipousaka uraisi mara ya pili.
Kwa vyama vya upinzani navyo vinapitia changamoto ya uchanga,mtaji mdogo,na CCM kutokubali upinzani kushiriki siasa za nchi yetu kikamilifu.
Kwa leo hiyo list ulioiweka hapa yawezekana ikawa list tofauti 2025,kwani Mama yetu ndio leading candidate.
List ya 2030 ni mapema mno kubashiri maoni ya wananchi.
 
Salaam, Shalom!!

Nimefanya Utafiti mdogo na kufanikiwa kupata kujua size ya viatu vya mzalendo na mchapakazi Magufuli.

Viatu hivyo vimenakshiwa na sifa ZIFUATAZO,

1. UTHUBUTU& MSIMAMO THABITI.

2. UZALENDO.

3. UCHAPAKAZI.

4. MAONO/VISION.

Wafuatao, Wana sifa hizo hapo juu ingawa Si zote, lakini angalau wanaweza kuvivaa viatu hivyo na kuongoza njia.

1. KASSIM MAJALIWA

2. PHILIP MPANGO.

3. TUNDU ANTIPAS LISSU.

4. JOSEPHAT GWAJIMA.

Na Kwa uchache, mmoja kati ya hao, atapenya katikati na kutuongoza kufika Nchi ya AHADI kuanzia mwaka 2020V.....

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿.

Karibuni🙏
Hakuna hata mmoja hapo kwenye orodha yako
 
Back
Top Bottom