Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

Wafugaji wa kuku unaweza tena inawezekana

hongera sana wakuu ....ila nina swali dogo ambalo nadhani ni muhimu kwa mtu yeyote anayetaka kuingia kwenye fani hii. Je mnatoa mafunzo kidogo kwa mjasiriamali anayetaka kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji? bila shaka huyu mtu atanunua products zenu kama mpo vizuri.
 
Mkuu #Poultry Sayuni ubarikiwe sana sana..kwa kushare nasi elimu ya utunzaji vifaranga. Tafadhali naomba picha ya mfano wa banda kubwa lililotengenezwa vibanda vidogo vidogo ndani..natanguliza shukrani.
 
hongera sana wakuu ....ila nina swali dogo ambalo nadhani ni muhimu kwa mtu yeyote anayetaka kuingia kwenye fani hii. Je mnatoa mafunzo kidogo kwa mjasiriamali anayetaka kuanza ufugaji wa kuku wa kienyeji? bila shaka huyu mtu atanunua products zenu kama mpo vizuri.

Karibu sana mkuu, ushauri ni moja wapo ya huduma zetu kwani tunapenda kuona unafikia malengo yako.
 
Mkuu #Poultry Sayuni ubarikiwe sana sana..kwa kushare nasi elimu ya utunzaji vifarnga. Tafadhali naomba picha mfano wa banda kubwa lililotengenezwa vinanda vidogo vidogo ndani..natanguliza shukrani.

Amina mkuu. Biła shaka nitakurushia picha upate kuona
 
jamani kuna anaefahamu dawa ya kuangamiza viroboto kwa kuku?

nimejaribu akheri powder lakini haifanyi kazi.
 
Mkuu Sayuni hapo kwako una ile mbegu ya kuku wa kienyeji aina ya Ching'wekwe ambayo inaaminika kuwa na asili ya kutaga mayai mengi zaidi?Asante!
 
hongera mm ss hv nakula mayai ya vifaranga ambavyo nimenunua kwa ss hv nataka kware na bata mzinga
 
Washikadau,

Makala muhimu ya UFUGAJI wa KUKU kwa maendeleo binafsi na kwa taifa. Ni wakati wa kuthubutu na kuchukua hatua.
Karibu

Asante mkuu kwa taarifa hii muhimu. Hebu naomba unisaidie kujua kitu kimoja; hii glucose huwa inachanganywa na maji kwa kufuata vipimo gani? Naamanisha kiasi gani cha glucose kwa lita ngapi za maji?
 
Be blessed. Nina shida sana na sample hii.. kwa kuwa najiandaa kuanza kutotolesha, lakini pia nakosa nafasi ya kuwatenga kuku wagonjwa.

Unisamehe kwa kimya nilikuwa safari mpendwa ila kesho utapata au ni pm namba ya simu nikitumie kwa whatsup baadaye
 
Back
Top Bottom