Poultry Sayuni
Senior Member
- Sep 6, 2011
- 125
- 36
- Thread starter
- #21
Hongereni sana, watanzania tuamke tuache kulalamika tukaze buti na Mungu atakuwa nasi
Sawa sawa mkuu. Pia kujiamini kwa kile unachofanya ni nguzo muhimu sana katika maendeleo. Wengi wanatawaliwa na mashaka na kutokujiamini.