Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Yeah kweli mkuu napenda rangi zao na fur, kwa wasio na fur ni dobermann.inaonekana unapenda hizi breed za husky
Umemuona Alaskan Malamute? Bonge ya dogi yani mkubwa kinoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah kweli mkuu napenda rangi zao na fur, kwa wasio na fur ni dobermann.inaonekana unapenda hizi breed za husky
Huyo Siberian husky ana angry face. Kuna mmoja alichukua tuzo kuwa the most angry face dogYeah kweli mkuu napenda rangi zao na fur, kwa wasio na fur ni dobermann.
Umemuona Alaskan Malamute? Bonge ya dogi yani mkubwa kinoma
GT shukran kwa huu uzi. Am a dog enthusiast ast. Kuna huyu mbwa wanadai ni mpole na mjinga Labrador. Yani hata intruder akingia ndani atamsindikiza. Ni breed inayoendana na retrieversbelgian groenendael (gronida)
kapicha mkuu
mkuu najua wewe unaishi na jamii inayojali mbwa kuliko hata viongozi wa bongo wanavyojali watu wao, nimeishi na Wascandnavia nikiri ndio walioniambukiza ugonjwa wa kupenda mbwa hasa wa Dk, hebu tupe uzoefu wako mkuuGT shukran kwa huu uzi. Am a dog enthuast. Kuna huyu mbwa wanadai ni mpole na mjinga Labrador. Yani hata intruder akingia ndani atamsindikiza. Ni breed inayoendana na retrievers
dah GT iyo mijibwa koko inakulindia magunia ya mkaa huko minjingu? Halafu mioga na ina mikwara kwa kubweka yani hata ukiinama kufunga kamba za viatu zinatimua wakidhani unaokota mawe kuwarushiaHawa Koko kwa ajili ya kama alarm tu si unajua koko akiona mtu lazima abweke so ni njia nzuri ya kustukia wezi.....Ngoja nizichange nije kufuga hao GS niachane na KOKOBANGA NYE NYE NYE.
Napenda Labrador ila kama pet tu sio kwaajili ya ulinzi. Ni mpole sanaGT shukran kwa huu uzi. Am a dog enthuast. Kuna huyu mbwa wanadai ni mpole na mjinga Labrador. Yani hata intruder akingia ndani atamsindikiza. Ni breed inayoendana na retrievers
hahaha japo kuna yapo ni matata sanadah GT iyo mijibwa koko inakulindia magunia ya mkaa huko minjingu? Halafu mioga na ina mikwara kwa kubweka yani hata ukiinama kufunga kamba za viatu zinatimua wakidhani unaokota mawe kuwarushia
Hahahaaaaaa Mzee wa KOPENIHAGENI 😀😀😀😀😀 Naifuga kwa ajili ya kama kutishia watu na Alarm ya kukustua kama kuna watu wamekuja au kuiba magunia ya mkaa.dah GT iyo mijibwa koko inakulindia magunia ya mkaa huko minjingu? Halafu mioga na ina mikwara kwa kubweka yani hata ukiinama kufunga kamba za viatu zinatimua wakidhani unaokota mawe kuwarushia
Mkuu mbwa huku ni mwanafamilia. Ana hadi kitambulisho. Ila kati ya vitu wazungu wamekosea ni viwili tu ni kushabikia ushoga na kumtukuza mbwa. Siyo vizuri mbwa kulala naye kukaa naye ndani. Napenda mbwa lakini kumtukuza kiasi hicho hapana.mkuu najua wewe unaishi na jamii inayojali mbwa kuliko hata viongozi wa bongo wanavyojali watu wao, nimeishi na Wascandnavia nikiri ndio walioniambukiza ugonjwa wa kupenda mbwa hasa wa Dk, hebu tupe uzoefu wako mkuu
gd ni bonge la mnyama, naweza kusema ni cross ya gs.Mkuu mbwa huku ni mwanafamilia. Ana hadi kitambulisho. Ila kati ya vitu wazungu wamekosea ni viwili tu ni kushabikia ushoga na kumtukuza mbwa. Siyo vizuri mbwa kulala naye kukaa naye ndani. Napenda mbwa lakini kumtukuza kiasi hicho hapana.
Kuna huyu the biggest dog the great dane yani jibwa kubwa sana ni german breed
ni mpole sana na kama zezeta. Wanadai early settlers in america waliwakuta red indians wakiwafugaNapenda Labrador ila kama pet tu sio kwaajili ya ulinzi. Ni mpole sana
kuna dogo flani mwafrika kutoka italy nilikutana naye siku flani mtaani akiniomba nimfanyie konekshen ya kubeba boksi. Tukapoteleana. Baada ya muda nikawa namuona akiwatoa out mbwa wawili golden ritriever siku nyingine nikamuona wakiwa na mmama wa kizungu na mijibwa yao nikajichekea tu nikasema dogo tayari kashawekwa ndanigd ni bonge la mnyama, naweza kusema ni cross ya gs.
mkuu wenzetu wsmezidisha upendo sana kwa dogs
ikiwa ataonyesha upendo kwa madog tayari ameulakuna dogo flani mwafrika kutoka italy nilikutana naye siku flani mtaani akiniomba nimfanyie konekshen ya kubeba boksi. Tukapoteleana. Baada ya muda nikawa namuona akiwatoa out mbwa wawili golden ritriever siku nyingine nikamuona wakiwa na mmama wa kizungu na mijibwa yao nikajichekea tu nikasema dogo tayari kashawekwa ndani
Asante kwa story lakini naomba ukaulize upya type ya mbwa wake. GS hawana hizo tabia na thats only reason nawafuga na siyo upuuzi wa pitbull,doberman na ma rottlewellers.Ngoja niwape kisa kilimtokea family friend mmoja mwaka 2015 msimu wa xmass na mwaka mpya.
Jamaa alikuwa na GS wako nane. Kawaida huwapa msosi kila siku usiku mida ya saa 4 baada ya watu wote kuingia ndani maana ni wakali mno. Na zoezi la chakula kuna shamba boy huwa ndie anawahudumia mbwa.
Sasa shamba boy xmass alienda kwao kula sikukuu. Na family friend yeye ni mtu wa tungi sana huwa anakesha baa na wajomba zangu.
Siku shamba boy alipoondoka jamaa akawa amelewa zake akarudi home akapitiwa akalala (mbwa hawakupewa chakula kama kawaida).
Akaamka asubuhi akaandaa msosi vizuri akafungulia banda la kwanza. (Amewagawa katika mabanda mawili wanne wanne).
Baada ya kufungua banda la kwanza mbwa mmoja akaanza kumkoromea kwa hasira sana kisha akamrudia, wale wengine watatu nao wakamrukia wakaanza kumrarua kwa hasira, wale wengine ndani nao wakapandwa na wazimu mpaka wakavunja banda wakaungana na wenzao.
Mke wa jamaa ni mayowe tu kwa dirishani anashuhudia mumuwe anavyotafunwa bila kuwa na lakufanya. Watoto vilio mpaka majirani wakasogea karibu.
Bahati nzuri kuna mtoto wa jirani ni rafiki wa shamba boy na mara nyingi wakiwa wanalisha mbwa wanakuwa wote hivyo wale mbwa wamemzoea sana.
Basi dogo ndio kuingia pale akawatuliza mbwa na jamaa kukimbizwa hospital ambapo alilazwa miezi mitatu akiwa hana fahamu.
Kusema ukweli yule jamaa kama angekuwa kapuku wala asingepona kwa shambulio lile. Pesa ilimuokoa.
Baada ya kurudi uraiani alikuwa amefungwa POP miguuni wala kutembea bila magongo hawezi. Aliwatandika risasi mbwa wote na mpaka sasa sijui kama anafuga tena.
Mbwa ni Loyal Friend kuliko hata binadamu lakini ni hatari sana pia.
Wafugaji tuzingatie Terms and Conditions
[emoji190] [emoji240]
Yup,wote madume.mkuu unao pure?