Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Hiki kisa cha kweli huko uingereza karne kadhaa. Kuna jamaa alipata mapacha na mama yao kufa. Wakawa wanalelewa na na nanny. Jamaa alikuwa na mbwa nimesahau breed alikuwa muaminifu kweli huyu mbwa. Na ikatokea hakai mbali na hawa mapacha. Mara zote hako nao.

Kuna siku aliondoka akamwacha mbwa na nany. Ila yule nany alitoka. Jamaa kurudi nyumbani akakuta kitanda cha watoto kimeanguka na mashuka yamezagaa yana damu na mbwa wake akimkodolea macho kwa ghazabu akachukua upanga na kumchoma mbwa wake huku mbwa akimtazama kwa huruma machoni akifa.

Baada ya hapo kugeuka akasikia madogo wakilia na pembeni bonge la mbwa mwitu wolf limekufa.

Jamaa alilia kwa sauti na kujuta kwa nini alimuua mbwa wake. Alimzika nakuweka mnara kwenye kaburi la mbwa hadi leo lipo. Kati ya wales skotlend sina uhakika

Sky Eclat
duuh inauma san, mimi nikiona mtu anapiga mbwa naumia sana sembuse kuua!
 
Hiki kisa cha kweli huko uingereza karne kadhaa. Kuna jamaa alipata mapacha na mama yao kufa. Wakawa wanalelewa na na nanny. Jamaa alikuwa na mbwa nimesahau breed alikuwa muaminifu kweli huyu mbwa. Na ikatokea hakai mbali na hawa mapacha. Mara zote hako nao.

Kuna siku aliondoka akamwacha mbwa na nany. Ila yule nany alitoka. Jamaa kurudi nyumbani akakuta kitanda cha watoto kimeanguka na mashuka yamezagaa yana damu na mbwa wake akimkodolea macho kwa ghazabu akachukua upanga na kumchoma mbwa wake huku mbwa akimtazama kwa huruma machoni akifa.

Baada ya hapo kugeuka akasikia madogo wakilia na pembeni bonge la mbwa mwitu wolf limekufa.

Jamaa alilia kwa sauti na kujuta kwa nini alimuua mbwa wake. Alimzika nakuweka mnara kwenye kaburi la mbwa hadi leo lipo. Kati ya wales skotlend sina uhakika

Sky Eclat
Mkuu hii sio ile hadithi ya Fineasi tuliyosomaga tukiwa darasa la pili sijui la tatu? [emoji23]
 
Nimekusoma lakini napata shida kuamini GS kutojua owner wake. Wapo sharp na vigilante sana hawa mbwa. Kwa mfano mtu akilala home kwangu hata iwe usiku mmoja jamaa lazima wajue tu sasa sembuse owner wao? Unless owner ni bwege kinoma.
Jamaa ni mtu wa mtungi sana na huwa anakesha baa nimesema hapo juu. Mara nyingi shamba boy ndie anahudumia.

Na kweli kukazia point yako ndio maana hata dogo wa jirani aliweza kuwazuia kwakuwa walishamzoea japo hakuwa owner wala hakuwa akiishi nyumba hiyo.
 
VIPI MBWA WA SPECIE YANA NAMNA HII ANAFAA KWA ULINZI


1538792964262.png
 
Back
Top Bottom