Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio tu kesi ya mauaji alivyo aggressive ipo siku hata wewe ana kuleftisha duniani.Napenda kufuga Pitbull ila nasikia ni hatari sana unaweza ukapata kesi ya mauaji ngoja niendelee kufuga hawa wala "NYA".
mbwa aggresive ni hatari sana kwa familia,Sio tu kesi ya mauaji alivyo aggressive ipo siku hata wewe ana kuleftisha duniani.
Hafai huyo.Sio tu kesi ya mauaji alivyo aggressive ipo siku hata wewe ana kuleftisha duniani.
Jinsia ipo angalia Profile yangu.Unajinsia ipi astakfillulah!
anatisha aiseeh anaonekana kauzu sanaSerbian HuskyView attachment 887982
mkuu hii mifugo huwa inavutia sana i wish nimalize kwangu kujenga niwafuge tena aisee.Ganja lazima nikimoka wakiskia harufu tu lazima waje nilipo ,sasa huwa siwavutishi ila nawapulizia moshi ,wanasizi halafu nawazibua na wine dah ,hawa mbwa nikifa watapata tabu sana ,lazima wawe rebellious kwa watakao baki ,wana enjoy life style nayowapa
huyu anavutia mkuuAlaskan MalamuteView attachment 888026View attachment 888027
mkuu huyu mzuri sanakitoto cha german shephard bora kabisaView attachment 887943
Kuna jamaa yangu mmoja ana wauza mbwa aina hii ambao anao mtu ambaye yuko interested tuwasiliane nikunganishe naye!Mpendwa mwana jf, unaweza kushangaa kusikia kuwa mbwa ni biashara nzuri kupita hata kufuga ng'ombe kibiashara na ukashangaa.
Uzi huu utakuwa ni maalum katika kupeana uzoefu katika biashara hii ya kufuga mbwa kwa lengo la kujipatia kipato na ulinzi pia.
Tutajifunza aina bora na inayohimili mazingira yetu hasa Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.
Hivyo mdau ikiwa wewe ni mfugaji wa wanyama hawa kibiashara, nakukaribisha sana utupatie uzoefu juu ya aina mbali mbali mfano;
a) German shephard
b) Belgian shephard
c) Bull dog
d) Rottweiler
e) Ridge back nk
mambo muhimu ya kupeana uzoefu;
1) banda/ nyumba bora ya kufugia
2) chanjo
3) Masoko nk
View attachment 887893View attachment 887894
maelezo ya German shephard soma post #5
Ni nakukarisha utupe uzoefu wako na kwa wale wanaotamani kujifunza mnalaribishwa kwa maswali na wadau watakujibu
mbwa wa kienyeji ukianza mafunzo ya nidhamu mapema pia wako vizuri sanaMi nafunga mbwa wa kiswahili na wako vzr Sana,kiulinzi ata adabu pia.nawapa huduma zote stahiki ikiwa chakula,chanjo zote,na kuoga kira jpili.kiukweli ulinzi tosha..
Haha mkuu kuna watu wanamaudhi na majibu kama hayo ndio size yao. Anyway tumkaushie maana virusi kama hivyo vipo kwenye jamii tuishi navyo tu kwa akiliyaishe mkuu tuendelee kujifunza
Hahaha mkuu sio sahizi bana bado kweupe sanausisahau majibu ya wikend huwa yanasukumwa na vinywaji mkuu