Ty_Vigilante
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 2,890
- 2,455
Mkuu, umenichekesha eeti "Mijipaka"Msaada kidogo japo nje ya mada.
Mimi natafuta ile mijipaka mikubwa ya kizungu mwenye kujua wanapatikana wapi na kwa bei gani aniambie tafadhali.
Natanguliza shukrani
AhahahaahhaMkuu, umenichekesha eeti "Mijipaka"
Kwa mtaa ukishasema jipaka.? Basii kuku wakae mbali na kama una nyiwa utakula loss kila siku...
Sawa broo ngoja nifanye hivyoduuh
hebu fungua uzi wa mapaka utapata msaada boss
Sawatutafika tu boss, aina ya chanjo, vyakula, ujenzi wa banda nk
German Shepherd bora sio lazima awe tan and black kama unavyodai, in fact German shepherd wa kwanza hakuwa na rangi hiyo alikuwa sable.German shephard;
Kama anavyoonekana hapo juu kwenye picha;
Huyu kwangu ni mbwa bora kabisa kwa ulinzi na Kibiashara;
Mbwa huyu ana nguvu nyingi,
Anafundishika kirahisi na
mwenye mvuto machoni.
Katika majeshi ya nchi nyingi
anatumika kama mmoja wa askari cc Waziri Lugola..hahaha.
Sababu kubwa ni moja yambwa wenye akili na kufundishika.
mbali na majeshi ya nchi mbalimbali kumtumia, pia watu binafsi humtumia kwa ulinzi.
Mbwa huyu anasoko sana endapo utakuwa na mbegu nzuri kwani uzao mmoja waweza kupata vitoto 5 na kuendelea.
Kitoto cha miezi 2 huuzwa kuanzia 700,000 hadi 1,200,000 hapa bongo na Kenya zaidi
SIFA YA MBEGU BORA
1. Masikio yaliyosimama
2. miguu ya mbele ni mirefu
kuzidi ya nyuma...
3. kifua kikubwa
4. miguu ya nyuma kupinda
5. mdomo mrefu
6. rangi ya kaki/kahawia na nyeusi mgongoni
@alibi asante kwa elimuGerman Shepherd bora sio lazima awe tan and black kama unavyodai, in fact German shepherd wa kwanza hakuwa na rangi hiyo alikuwa sable.
Nchi za wenzetu wanapenda tan and black au red and black color kwa ajili ya show line competition, kwa ajili ya ulinzi unaweza pick rangi nyingine, colour haimfanyi mbwa akawa mbegu mbaya.
German Shepherd wanaweza kuja na rangi kadhaa isipokuwa ikitokea akawa white au blue izo rangi zinkuwa considered fault.
Karibu mkuu@alibi asante kwa elimu