Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

nimefiwa na mbwa wangu toka utotoni nimekaa nae miaka 12, naomba kwa mwenye mbwa anauza hasa GS ani dm ila pls msinipe bei zenu za watalii
Kwanza pole sana kwa kufiwa na Mbwa najua uchungu wake, mbwa ni moja ya wana familia kwakweli, upo dar au mkoa gani?
 
Kaka Mbwa yeyote ni mkali, Mbwa yeyote anatabia zake shida ni kukariri hadisi za walio fuga bila ya kufwatilia tabia za Mbwa, Mbawa yoyote usipo mfwatilia na kumwongoza kwa jinsi ya malengo yako ya ufugaji utamwona kichaa,Kuna Gsd alikuwa anaitwa raff alikuwa huwezi kumlisha kumwogesha kumtibu mpaka afungwe kama anachinjwa sasa na huyo tutasemaje?ilishindikana kumtunza mpaka ilibidi apumzishwe, na walimfundisha wennyewe kwamaba wanataka mbwa awe mkali,

Mkuu Pitbull msikie tu pamoja na kwamba unaweza kumpa mafundisho mazuri na matunzo mema.

Siku akibadilika ndo utaelewa Pitbull yukoje hasa.

Ni kweli baadhi ya nchi duniani breed hii ya mbwa imepigwa stop kufuga.
 
Glad nimeuona huu uzi.
Recently nimeanza kufuga mbwa aina ya German shepherd (week ya 3 sasa) ana miezi nane lakini nina changamoto kadhaa.
1. Huyu mbwa alikua anafugwa yard so walikua wengi mno.
2. Baada ya kumchukua namuona muoga sana na hataki kutii amri (nina week naye mbili au tatu).
3. Sheria za kumlisha na aina za chakula sijui mwanzo nilimnunulia unga flani kama wa ulezi upo kwenye mifuko special nikaja nikamnunulia kama vikaranga ila naona hanenepi. Nampa chakula mara moja kwa siku na maji muda wote. Pia kuna muda narudi katafuna vyombo ashakunja mpaka sufuria. Kala madumu yani vurugu mechi ndani.
4. Anatoa mlio kama wa dubwi au mbwa mwitu habweki ile kukaza.
5. Anaogopa watu.
6. Kutembea mpaka nimburuze au kumpa kipondo.

Sasa wadau nishaurini jinsi ya kumlea huyu jamaa.
1. Chakula.
2. Namna ya kutii amri.
3. Kuwa mkali.
4. Matunzo yake mazuri.

Kuhusu kumpeleka training kwa sasa siwezi ukitegemea starehe za december na kipigo cha january siwezi peleka dog shule nikaacha dogo. Au kama kuna sehemu gharama nafuu nijulishwe for future use.
 

Attachments

  • gs.jpg
    gs.jpg
    58.7 KB · Views: 34
Glad nimeuona huu uzi.
Recently nimeanza kufuga mbwa aina ya German shepherd (week ya 3 sasa) ana miezi nane lakini nina changamoto kadhaa.
1. Huyu mbwa alikua anafugwa yard so walikua wengi mno.
2. Baada ya kumchukua namuona muoga sana na hataki kutii amri (nina week naye mbili au tatu).
3. Sheria za kumlisha na aina za chakula sijui mwanzo nilimnunulia unga flani kama wa ulezi upo kwenye mifuko special nikaja nikamnunulia kama vikaranga ila naona hanenepi. Nampa chakula mara moja kwa siku na maji muda wote. Pia kuna muda narudi katafuna vyombo ashakunja mpaka sufuria. Kala madumu yani vurugu mechi ndani.
4. Anatoa mlio kama wa dubwi au mbwa mwitu habweki ile kukaza.
5. Anaogopa watu.
6. Kutembea mpaka nimburuze au kumpa kipondo.

Sasa wadau nishaurini jinsi ya kumlea huyu jamaa.
1. Chakula.
2. Namna ya kutii amri.
3. Kuwa mkali.
4. Matunzo yake mazuri.

Kuhusu kumpeleka training kwa sasa siwezi ukitegemea starehe za december na kipigo cha january siwezi peleka dog shule nikaacha dogo. Au kama kuna sehemu gharama nafuu nijulishwe for future use.
Huyo ni Mbwa mzuri sana kwakweli ni GSD Sable naomba unitafute nitakusaidia, nakuomba sana usikate tamaa atakaa sawa 0784 448120. call me
 
Huyo ni Mbwa mzuri sana kwakweli ni GSD Sable naomba unitafute nitakusaidia, nakuomba sana usikate tamaa atakaa sawa 0784 448120. call me
Unapatikana mkoa gani mkuu.nna gsd wa mwaka moja ni fala mno kushinda huyo na anapenda michezo mno utadhani amezaliwa jana vile! ananiboa mpaka kutaka kumgawa tu bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapatikana mkoa gani mkuu.nna gsd wa mwaka moja ni fala mno kushinda huyo na anapenda michezo mno utadhani amezaliwa jana vile! ananiboa mpaka kutaka kumgawa tu bure

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah nina changamoto kama yako yani mbwa anakimbia kimbia tu ndani, mwoga, habweki anatoa milio kama dumbwi au mbwa mwitu... Fala sana huyu mbwa anakula tu.
 
Mi nina mbwa wangu hapa home sijui wa aina gani? Nikiacha viatu nje nakuta mikanda yote yote imekatika,wanantia hasara kweli...wakija wageni aibu tupu....sijui niwafenyeje!
 
Usifanye maamuzi ukiwa na hasira.....Hilo ndilo somo kuu hapo....Kwani hata kama angekuwa mbwa amewaua au kuwala, bado Kwa kumuua asingewarudisha watoto.....alikosa uvumilivu kidogo Sana.
Hiki kisa cha kweli huko uingereza karne kadhaa. Kuna jamaa alipata mapacha na mama yao kufa. Wakawa wanalelewa na na nanny. Jamaa alikuwa na mbwa nimesahau breed alikuwa muaminifu kweli huyu mbwa. Na ikatokea hakai mbali na hawa mapacha. Mara zote hako nao.

Kuna siku aliondoka akamwacha mbwa na nany. Ila yule nany alitoka. Jamaa kurudi nyumbani akakuta kitanda cha watoto kimeanguka na mashuka yamezagaa yana damu na mbwa wake akimkodolea macho kwa ghazabu akachukua upanga na kumchoma mbwa wake huku mbwa akimtazama kwa huruma machoni akifa.

Baada ya hapo kugeuka akasikia madogo wakilia na pembeni bonge la mbwa mwitu wolf limekufa.

Jamaa alilia kwa sauti na kujuta kwa nini alimuua mbwa wake. Alimzika nakuweka mnara kwenye kaburi la mbwa hadi leo lipo. Kati ya wales skotlend sina uhakika

Sky Eclat

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda unawafungia ndani huwapi mazozi, hiyo ni taarifa wanakupa kuwa kuna kitu hakiko sawa
Mi nina mbwa wangu hapa home sijui wa aina gani? Nikiacha viatu nje nakuta mikanda yote yote imekatika,wanantia hasara kweli...wakija wageni aibu tupu....sijui niwafenyeje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu miaka ya nyuma kulikuwa na uzi flani wa Mbwa, michango yako ilionyesha wewe ni mtaalamu wa mbwa sana
Mkuu Pitbull msikie tu pamoja na kwamba unaweza kumpa mafundisho mazuri na matunzo mema.

Siku akibadilika ndo utaelewa Pitbull yukoje hasa.

Ni kweli baadhi ya nchi duniani breed hii ya mbwa imepigwa stop kufuga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom