Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

IMG_5744.png
 
Kama Kuna wananchi wanaamini upuuzi kama huu,hiyo jamii bsdo Ina watu wajinga,wasio na elimu,na mafukara wa kipato.
Huwezi kusikia upuuzi kama huu unatokea Arusha na Kilimanjaro.
Mjomba uchawi upo usifanye masihara wewe hujapatwa ukijiona unakataa sana kua uchawi haupo unashika bango unawaambia watu hakuna uchawi jichunguze vizuri unaweza ukawa wewe ndio mchawi mwenyewe unashirikiana na wachawi bila kujijua kua wewe pia ni mwanachama wao
 
Kama Kuna wananchi wanaamini upuuzi kama huu,hiyo jamii bsdo Ina watu wajinga,wasio na elimu,na mafukara wa kipato.
Huwezi kusikia upuuzi kama huu unatokea Arusha na Kilimanjaro.
Mtafute magician [emoji145] [Youtube, Insta na Fb] anajiita #Imadmagician#. Halafu ulete logical explanation ya kitu anachokifanya.
Pure black magic wazi wazi.
 
Ni matokeo ya ujinga na viongozi fisadi waganga njaa. Ni hila viongozi wa kijiji kutaka kula hela kiujanja. Ujinga ni taabu tupu. Huku wanazuka mapastor wezi, huku wanazuka waganga wezi..ni balaa kila upande kwa mwananchi.
Ungeweka vizuri bila kupepesa macho, ni matokeo ya serikali hii ya hovyo ya CCM.
Ukiona serikali inaendekeza na kufurahia raia wake kuwa wajinga kihalaiki ujue ipo kiujanja ujanja na inataka itumie huo ujinga wa raia kubaki madarakani.
Hao waganga feki inawaona na kuwapa leseni, kadhalika manabii na makuhani fake inawaona na kuwasajili.
 
Back
Top Bottom