Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu


Wananchi wa Kijiji cha Sunuka, Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wameshirikiana na Serikali ya Kijiji kuchukua Waganga wa Jadi zaidi ya 10 kutoka Sumbawanga ili kukagua wachawi waliomo ndani ya kijiji chao wakidai ndicho chanzo cha utitiri wa vifo vya vijana katika mazingira ya kutatanisha.

Baadhi wa Wananchi walikusanyika na kuandama barabarani wakiimba “Tumechoka na uchawi” huku wakisapoti kile kinachofanywa na Viongozi wao.

Hata hivyo operesheni hiyo imepingwa vikali na Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Dinah Mathamani ambaye amezuiwa kuingia kijijini hapo ikiwa yupo kinyume cha mpango huo.

DC Dinah Mathamani amesema “Tumejadili na viongozi kuhusu suala hili, wale wanaojiita Waganda wanatakiwa kuondoka katika wilaya yetu, hatua kali zitachukuliwa dhidi yao na viongozi wanaoshirikiana nao.

Chanzo: UFM
Kama Kuna wananchi wanaamini upuuzi kama huu,hiyo jamii bsdo Ina watu wajinga,wasio na elimu,na mafukara wa kipato.
Huwezi kusikia upuuzi kama huu unatokea Arusha na Kilimanjaro.
 
Hakuna uchawi wa kuzuia risasi. Hayo ni matokeo ya ujinga. Yalianza huko kwa Kinjekitile. Na si Kinjekitile tu, Wahindi wekundu walikuwaga nao na mganga aliyewadanganya kuwa ana dawa wakipigwa risasi na wazungu hazitawadhuru. Na zaidi ni kuwa jeshi hupingq vikali imani za kishirikina. Maana nirahisi sana kudemoralize jeshi linaloamini uchawi.
Usilo lijua ni usiku wa Giza nilikutana na brother mmoja yeye aliwai kwenda kusaidia vikosi vya waasi Kongo (Mercenary)
Kuna siku tunafanya USAF packing so katika kuhamisha vitu akang'atwa na Nyoka mkubwa mweusi tii...
Alicho niambia nyoka Hana madhara yeyote kwake na Kweli hakuna kilicho tokea... Pia aliniambia analo zindiko la visu na risasi...
Haya mambo yapo sanaa usibishe bishe...

Jaribu kuulizia watu wa Kigoma Kuna KIDONO na KIKUNTI,
Kwa yeyote ambae ana ushuhuda hapa anaweza ku share...
 
Kama Kuna wananchi wanaamini upuuzi kama huu,hiyo jamii bsdo Ina watu wajinga,wasio na elimu,na mafukara wa kipato.
Huwezi kusikia upuuzi kama huu unatokea Arusha na Kilimanjaro.
Mkuu nenda kafanye case study Kwa msisiri uziguani Kule then Rudi hapa kucomment....
Hivi huwezi jiuliza hata Kwa simple logic wilaya ya temeke na viunga vyake Kuna maduka mengi ya dawa za asili..
Kuna tunguri,vibuyu,kaniki na madude mengi ya ajab ajab
Ni vitu vya kushangaza

No beef mkuu 😊😊
 
Kigoma inasifika kwa jambo hilo.
Uchawi, ushirikiana na ugqnga wa kinyeji ni jadi Yao, hawawezi kuacha.

Imani za kishirikina zimejikita huko
Pumbafuuu Kabisa Hawa.. Mpaka Leo uchawi Ndio Maana maskini wa kutupwa Huku
 
Usilo lijua ni usiku wa Giza nilikutana na brother mmoja yeye aliwai kwenda kusaidia vikosi vya waasi Kongo (Mercenary)
Kuna siku tunafanya USAF packing so katika kuhamisha vitu akang'atwa na Nyoka mkubwa mweusi tii...
Alicho niambia nyoka Hana madhara yeyote kwake na Kweli hakuna kilicho tokea... Pia aliniambia analo zindiko la visu na risasi...
Haya mambo yapo sanaa usibishe bishe...

Jaribu kuulizia watu wa Kigoma Kuna KIDONO na KIKUNTI,
Kwa yeyote ambae ana ushuhuda hapa anaweza ku share...
Wewe achana nao hao wajinga wewe mtoto kazaliwa masaki kasoma feza kuanzia la chekechea hadi six chuo kasoma UDSM unategwmea ana kipi hasa anacho kijua kuhusu maisha ja jamii zaidi ya moduli alizo jaza kuchwani ? Hapo alipo hata hajui hata mmea wa mahindi ukoje.
 
Usilo lijua ni usiku wa Giza nilikutana na brother mmoja yeye aliwai kwenda kusaidia vikosi vya waasi Kongo (Mercenary)
Kuna siku tunafanya USAF packing so katika kuhamisha vitu akang'atwa na Nyoka mkubwa mweusi tii...
Alicho niambia nyoka Hana madhara yeyote kwake na Kweli hakuna kilicho tokea... Pia aliniambia analo zindiko la visu na risasi...
Haya mambo yapo sanaa usibishe bishe...

Jaribu kuulizia watu wa Kigoma Kuna KIDONO na KIKUNTI,
UNyokwenyea

Usilo lijua ni usiku wa Giza nilikutana na brother mmoja yeye aliwai kwenda kusaidia vikosi vya waasi Kongo (Mercenary)
Kuna siku tunafanya USAF packing so katika kuhamisha vitu akang'atwa na Nyoka mkubwa mweusi tii...
Alicho niambia nyoka Hana madhara yeyote kwake na Kweli hakuna kilicho tokea... Pia aliniambia analo zindiko la visu na risasi...
Haya mambo yapo sanaa usibishe bishe...

Jaribu kuulizia watu wa Kigoma Kuna KIDONO na KIKUNTI,
Kwa yeyote ambae ana ushuhuda hapa anaweza ku share...
Nyoka wenye sumu ni wachache sana kulinganisha na ambao hawana sumu. Imani hizi zote hutokana na ujinga.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]

Hawa watoto ndio maana wanakuwa machoko kihasara hasara wanajikuta wanaliwa viboga!

Anajitia ubishi mwenyewe, amekariri vitini vya CIVICS humwambii kitu [emoji851]
Sasa kuamini kuwa popobawa anaingia usiku kulawiti wanaume, na kuwa usipotangaza anarudi si ndiyo uchoko wenyewe.
 
Endometriosis au ovarian fibroids inaweza sababisha irregularities za hedhi. Tumbo kuvimba ni maradhi ambayo yapo na yanatibika. Nyie watu ni wapu.mbavu kiasi gani hadi mnaamini magonjwa yanayotambulika kisayansi na kutibika ni ushirikina? Ipo siku mtasema malaria na kipindupindu ni ushirikina.

Umaskini na ujinga bado ni janga la taifa.
We jamaa,umeweka picha ya Ngwear ni zwazwa wa kutupa chooni maana unataka kuaminisha watu kile unachokiamini na ujinga wa kukaririshwa ndio unaokupumbaza akili na kujiona umestaaribika mpaka kutukana watu wapumbavu niseme tu huna maarifa ya Kimtaa unapelekwa na upepo wa kukaririshwa tu,sijakwambia uamini.....naongea vitu ambavyo vilitokea na vinazidi kutokea katika jamii tunazoishi....watu wengi walishakutana na misuko suko ya nguvu za giza na wakaathirika katika maisha yao.
Elimu ni pana ukiwa na uelewa wa jambo moja kuna mwingine na uelewa wa mambo mia...kaaa utulie usikurupuke.
 
Msiwe mnabisha vitu msivyovijua hii itakusaidia ni bora uulize ili kupata ufafanuzi ndio ustaarabu.

Mimi ni mwenyeji wa Kigoma hayo madai ya wana Kijiji ni kweli huko Mwambao wa ziwa Tanganyika ushirikina umetawala sana,hasa wavuvi huwa hadi wanachukua watu misukule kuwaweka kwenye mitumbwi yao ya kuvulia wakiamini misukule huvuta Samaki au Dagaa...kama haufanyi ushirikina/uchawi huwezi kuvua kwa mafanikio utajikuta kila ukienda ziwani unarudi patupu wenzako wanajaza mitumbwi mpaka inataka kuzama.
Mamba za kichawi zipo zinachukua watu bila kuwauwa na kuwapeleka walipo agizwa.

Swala la dawa ya nyoka,Nimeshuhudia kwa macho yangu miaka ya 2000-2010 vijana wengi wa mji wa Ujiji walikuwa wanachanja dawa ya kuzuia simu ya nyoka isikudhuru hata akikugonga kama umechanjwa hiyo dawa nyoka anakuwa hana madhara kwako...uliza watu wenyeji wa Kigoma hasa Ujiji watakupa ukweli.

Nguvu za kupigana,(Kinguti/vidono)

Hizi ni dawa unachanjwa unakuwa na nguvu za ajabu unaweza kupigana na watu hata 10 na ukawapiga wotepia silaha kama visu,mnlapanga hazina madhara kwako ukichomwa kisu akiingi...zipo mpaka risasi haingii mwilini kwako ,mashati yake uchokozwe kwanza na sio unakuwa mchokoza watu ili uwapige ... kama hauamini funga safari mpaka Kigoma utafute watu wakupeleke kwa wataalamu wa hizi kazi


Sasa kuamini kuwa popobawa anaingia usiku kulawiti wanaume, na kuwa usipotangaza anarudi si ndiyo uchoko wenyewe.
 
Nyoka wenye sumu ni wachache sana kulinganisha na ambao hawana sumu. Imani hizi zote hutokana na ujinga.
Ipo siku utajua hujui...Nenda Kijiji Cha Kwa msisiri uziguani Kule then Rudi uje uncomment....

Unafahamu kaburi la martin kiyeyuu huko iringa...

Kaburi la maajabu la Kiyeyeu; uchawi ulipoishinda sayansi

Brain 🧠 you're Eye's 👀👀
 
Msiwe mnabisha vitu msivyovijua hii itakusaidia ni bora uulize ili kupata ufafanuzi ndio ustaarabu.

Mimi ni mwenyeji wa Kigoma hayo madai ya wana Kijiji ni kweli huko Mwambao wa ziwa Tanganyika ushirikina umetawala sana,hasa wavuvi huwa hadi wanachukua watu misukule kuwaweka kwenye mitumbwi yao ya kuvulia wakiamini misukule huvuta Samaki au Dagaa...kama haufanyi ushirikina/uchawi huwezi kuvua kwa mafanikio utajikuta kila ukienda ziwani unarudi patupu wenzako wanajaza mitumbwi mpaka inataka kuzama.
Mamba za kichawi zipo zinachukua watu bila kuwauwa na kuwapeleka walipo agizwa.

Swala la dawa ya nyoka,Nimeshuhudia kwa macho yangu miaka ya 2000-2010 vijana wengi wa mji wa Ujiji walikuwa wanachanja dawa ya kuzuia simu ya nyoka isikudhuru hata akikugonga kama umechanjwa hiyo dawa nyoka anakuwa hana madhara kwako...uliza watu wenyeji wa Kigoma hasa Ujiji watakupa ukweli.

Nguvu za kupigana,(Kinguti/vidono)

Hizi ni dawa unachanjwa unakuwa na nguvu za ajabu unaweza kupigana na watu hata 10 na ukawapiga wotepia silaha kama visu,mnlapanga hazina madhara kwako ukichomwa kisu akiingi...zipo mpaka risasi haingii mwilini kwako ,mashati yake uchokozwe kwanza na sio unakuwa mchokoza watu ili uwapige ... kama hauamini funga safari mpaka Kigoma utafute watu wakupeleke kwa wataalamu wa hizi kazi

Unaona mlivyo mazwazwa.. Hivi kuna mkoa maskini kuliko Kigoma? hiyo misukule ingekua inafanya kazi na watu wanapata samaki si umasikini ungeisha? Kigoma nzima inanuka umaskini yoooote kuanzia mjini hadi vijijini, mjini penyewe mmepata lami juzi juzi tu huko Mwanga ni kama sehemu za vilabuni mikoa mingine. Ujiji ipo mjini ila ni kijijini kuliko Chitipa.

Nimesema hapa tatizo mnadhani sisi hatuiju Kigoma kumbe wengine tunaijua kama kiganja chetu cha mkono hizi zote ni story za hearsay hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudanganyana tu na kuaminishana ujinga na watu mazwazwa kama wewe mnaamini. Ukitoa ujinga na umaskini hamna cha ziada kigoma ndo maana imani za kishirikina zinatamalaki. Watu wanaamini tu bila reasoning yeyote whatsoever. Inabidi uwe zwazwa as well kuamini hizi story zenu.
 
Unaona mlivyo mazwazwa.. Hivi kuna mkoa maskini kuliko Kigoma? hiyo misukule ingekua inafanya kazi na watu wanapata samaki si umasikini ungeisha? Kigoma nzima inanuka umaskini yoooote kuanzia mjini hadi vijijini, mjini penyewe mmepata lami juzi juzi tu huko Mwanga ni kama sehemu za vilabuni mikoa mingine. Ujiji ipo mjini ila ni kijijini kuliko Chitipa.

Nimesema hapa tatizo mnadhani sisi hatuiju Kigoma kumbe wengine tunaijua kama kiganja chetu cha mkono hizi zote ni story za hearsay hazina uthibitisho wowote zaidi ya kudanganyana tu na kuaminishana ujinga na watu mazwazwa kama wewe mnaamini. Ukitoa ujinga na umaskini hamna cha ziada kigoma ndo maana imani za kishirikina zinatamalaki. Watu wanaamini tu bila reasoning yeyote whatsoever. Inabidi uwe zwazwa as well kuamini hizi story zenu.
We mwenyewe zwazwa tu na ma-CIVICS yako hayo [emoji851]
 
Ipo siku utajua hujui...Nenda Kijiji Cha Kwa msisiri uziguani Kule then Rudi uje uncomment....

Unafahamu kaburi la martin kiyeyuu huko iringa...

Kaburi la maajabu la Kiyeyeu; uchawi ulipoishinda sayansi

Brain 🧠 you're Eye's 👀👀

Tunaposema habari zote za ushirikina na hearsay na zinaaminiwa na mazwazwa tunazungumzia watu kama wewe. Huwa mnaamini tu mnachosikia so long as mmeambiwa ni ushirikina na hamtaki kabisa kufanya reasoning au kutafuta sababu zenye mantiki.

kaburi la Kiyeyeu kule Isimila Iringa ukweli ni huu: Survey ya kwanza ya kupitisha nyaya za umeme eneo hilo ilifanyika bila kuzingatia uwepo wa makaburi hayo ya familia ya Kiyeyeu. Nguzo zilipofikishwa hapo ikaonekana kuwa nyaya za umeme itabidi zipite juu ya makaburi hayo, hivyo yakaibuka masuala ya FIDIA KWA FAMILIA YA KIYEYEU NA KUHAMISHA YALE MAKABURI. Kwa kuwa mradi ulikwisha anza, wenye mradi wakaamua kuyakwepa makaburi hayo ili kutatua matatizo hayo mawili niliyoyataja. Hilo watu hawakuambiwa hali ambayo imeelekea kuleta tafsiri potofu kama inavyoenezwa!

Aidha 2010 TANROADS ilifukua na kulitupilia mbali huko na hamna kitu kilitokea. Link hii hapa:


Bado ujinga na umaskini ni janga la taifa.
 
Tunaposema habari zote za ushirikina na hearsay na zinaaminiwa na mazwazwa tunazungumzia watu kama wewe. Huwa mnaamini tu mnachosikia so long as mmeambiwa ni ushirikina na hamtaki kabisa kufanya reasoning au kutafuta sababu zenye mantiki.

kaburi la Kiyeyeu kule Isimila Iringa ukweli ni huu: Survey ya kwanza ya kupitisha nyaya za umeme eneo hilo ilifanyika bila kuzingatia uwepo wa makaburi hayo ya familia ya Kiyeyeu. Nguzo zilipofikishwa hapo ikaonekana kuwa nyaya za umeme itabidi zipite juu ya makaburi hayo, hivyo yakaibuka masuala ya FIDIA KWA FAMILIA YA KIYEYEU NA KUHAMISHA YALE MAKABURI. Kwa kuwa mradi ulikwisha anza, wenye mradi wakaamua kuyakwepa makaburi hayo ili kutatua matatizo hayo mawili niliyoyataja. Hilo watu hawakuambiwa hali ambayo imeelekea kuleta tafsiri potofu kama inavyoenezwa!

Aidha 2010 TANROADS ilifukua na kulitupilia mbali huko na hamna kitu kilitokea. Link hii hapa:


Bado ujinga na umaskini ni janga la taifa.
Rais magufuli aliamini Kuna UCHAWI unadhani wewe una akili kumzidi JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI

Babu na bibi ako hata Baba ako na mama wana amini uchawi upo..

Naona unajizima Data

Nenda kaoshe vyombo vya shemeji yako huna unacho kijua....
😂😂😂🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣

POVU RUKSA 🤓🤓🤓🤓😊😆🤓🤠
 
Msiwe mnabisha vitu msivyovijua hii itakusaidia ni bora uulize ili kupata ufafanuzi ndio ustaarabu.

Mimi ni mwenyeji wa Kigoma hayo madai ya wana Kijiji ni kweli huko Mwambao wa ziwa Tanganyika ushirikina umetawala sana,hasa wavuvi huwa hadi wanachukua watu misukule kuwaweka kwenye mitumbwi yao ya kuvulia wakiamini misukule huvuta Samaki au Dagaa...kama haufanyi ushirikina/uchawi huwezi kuvua kwa mafanikio utajikuta kila ukienda ziwani unarudi patupu wenzako wanajaza mitumbwi mpaka inataka kuzama.
Mamba za kichawi zipo zinachukua watu bila kuwauwa na kuwapeleka walipo agizwa.

Swala la dawa ya nyoka,Nimeshuhudia kwa macho yangu miaka ya 2000-2010 vijana wengi wa mji wa Ujiji walikuwa wanachanja dawa ya kuzuia simu ya nyoka isikudhuru hata akikugonga kama umechanjwa hiyo dawa nyoka anakuwa hana madhara kwako...uliza watu wenyeji wa Kigoma hasa Ujiji watakupa ukweli.

Nguvu za kupigana,(Kinguti/vidono)

Hizi ni dawa unachanjwa unakuwa na nguvu za ajabu unaweza kupigana na watu hata 10 na ukawapiga wotepia silaha kama visu,mnlapanga hazina madhara kwako ukichomwa kisu akiingi...zipo mpaka risasi haingii mwilini kwako ,mashati yake uchokozwe kwanza na sio unakuwa mchokoza watu ili uwapige ... kama hauamini funga safari mpaka Kigoma utafute watu wakupeleke kwa wataalamu wa hizi kazi
Uvuvi unafanyika kitaalamu si kichawi. Huu ujinga ndiyo unafanya tuendelee kuwa masikini. Eti ukichomwa kisu hakiingii!!? Unakuta ni mtu mzima anaongea haya!!!!
 
Ipo siku utajua hujui...Nenda Kijiji Cha Kwa msisiri uziguani Kule then Rudi uje uncomment....

Unafahamu kaburi la martin kiyeyuu huko iringa...

Kaburi la maajabu la Kiyeyeu; uchawi ulipoishinda sayansi

Brain 🧠 you're Eye's 👀👀
Habari ya maaburi ya hivyo ni ubabaishaji na uongo tu.
 
Rais magufuli aliamini Kuna UCHAWI unadhani wewe una akili kumzidi JOHN POMBE JOSEPH MAGUFURI

Nenda kaoshe vyombo vya shemeji yako huna unacho kijua....
😂😂😂🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣

POVU RUKSA 🤓🤓🤓🤓😊😆🤓🤠

Aliamini pia hakuna corona ila wote tunajua nini kilichompata. Mnang'ang'ania ujinga kwa gharama yoyote ile.
 
Usilo lijua ni usiku wa Giza nilikutana na brother mmoja yeye aliwai kwenda kusaidia vikosi vya waasi Kongo (Mercenary)
Kuna siku tunafanya USAF packing so katika kuhamisha vitu akang'atwa na Nyoka mkubwa mweusi tii...
Alicho niambia nyoka Hana madhara yeyote kwake na Kweli hakuna kilicho tokea... Pia aliniambia analo zindiko la visu na risasi...
Haya mambo yapo sanaa usibishe bishe...

Jaribu kuulizia watu wa Kigoma Kuna KIDONO na KIKUNTI,
Kwa yeyote ambae ana ushuhuda hapa anaweza ku share...

Uwe unatumia google kujiongezea maarifa mengine sio kuangalia pilau tu. Katika aina zote za nyoka wenye sumu (venomous) ni robo tu. Hata wewe uking'atwa na nyoka chances are hutodhurika. Huko shuleni mlisomea ujinga?
 
Habari ya maaburi ya hivyo ni ubabaishaji na uongo tu.
Mnachekesha kwakwel uchawi upo na mnajizima Data,

Uchawi upo na una work out trust me hata

Unajua hii miti inaongea Kuna wazee wasomi wa enzi za Nyerere nimeongea na wazee wengi nacho diriki kusema Kuna mengi msiyo yajua......

Unajua kua UDSM Kuna watu wamewai kufanya tafiti za witchcraft in Tanzania & consequences...
 
Back
Top Bottom