Tatizo lenu mnadhani nyie tu ndo mnaijua Kigoma kama kawaida ya waamini ushirikina hamna logical reasoning whatsoever. Kigoma kuanzia mjini, Kasulu, Uvinza, Manyovu, Mnanila hadi Burundi nimefika countless times FYI. Nakufahamu kama kiganja changu cha mkono. Hamna ushirikana zaidi ya ujinga na umaskini na kuaminishana story za kusadikika, mazwazwa wanaamini moja kwa moja kama nyumbu.
Msaidie mwenzako kutaja jina la diwani aliyetoka kishirikina. Nilitaja hadi dau ila mwaka wapili sasa jina tu sijapata.