bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Naona DC yupo upande wa wachawi,wanapata vyeo toka kwa wachawi japo wanapinga uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ULaya na Marekani uchawi umepungua sana baada ya wachawi wengi kuuliwa.
Huku Afrika ni watu viazi kama wewe ndio mnasababisha hawa wachawi waendelee kutusumbua kwa kuwatetea kuwa uchawi hakuna.
Pia Kama mtu anaeamini uchawi ni mjinga au uchawi haupo kwanini nchi hii kuna sheria ya kudhibiti uchawi -Witchcraft Act?
Wewe kama hujawahi shuhudia uchawi piga kimya tu sababu sisi wengine tuna shuhuda nyingi tu
Zamani walikuwa wanafanya sanaUlaya hawafanyi uchawi wa kuzuia maendeleo huu wa black magic sijui kulogana kisa mtu anakula nyama,wao wanafanya zaidi white magic uchawi wa miujiza
Mtafute Musa chesa atakueleza kuhusu ili au tafuta police wale wanaopambana na majambazi atakupa ukwel kuhusu hiliHakuna uchawi wa kuzuia risasi. Hayo ni matokeo ya ujinga. Yalianza huko kwa Kinjekitile. Na si Kinjekitile tu, Wahindi wekundu walikuwaga nao na mganga aliyewadanganya kuwa ana dawa wakipigwa risasi na wazungu hazitawadhuru. Na zaidi ni kuwa jeshi hupingq vikali imani za kishirikina. Maana nirahisi sana kudemoralize jeshi linaloamini uchawi.
Waliuwauwa,bila kuwauwa wachawi tusahau kuhusu maendeleoZamani walikuwa wanafanya sana
Hawaelewi hili,hakuna jambazi,mwizi au kibaka asiye mchawi.Uchawi upo ndugu ndio maana hata jeshini wanafundishwa dark arts. Hata askari waliokua wanapambana na majambazi ya Kahama na Kibondo walikua wanatumia dark arts Ili kuwamaliza bila hivyo hata ungerusha risasi ngapi humuuwi.
Hii bullets proof ya kiasili nayo Ina namna yake ya kuizimua.twende kigoma this week nauli na malazi juu yako then kuna mtu namjua akupe hyo dawa endapo itakuwa uongo nakurudishia gharama zako zote za usafiri na malazi.
baada ya kufanyiwa utajaribiwa kwa kila silaha unayotaka wewe kuanzia wembe,pange,visu,shoka,risasi nk
dawa hiyo inaitwa kidono tembea ndugu dunia ina mengi mno usiyoyajua
Sio jeshini tu hata kwenye vyuo vya ujasusi wanafundishwa white magic.Uchawi upo ndugu ndio maana hata jeshini wanafundishwa dark arts. Hata askari waliokua wanapambana na majambazi ya Kahama na Kibondo walikua wanatumia dark arts Ili kuwamaliza bila hivyo hata ungerusha risasi ngapi humuuwi.
uko right kabisa wasiojua watabishaHii bullets proof ya kiasili nayo Ina namna yake ya kuizimua.
Mganga huyo huyo wa kaka jambazi ndie mganga huyo huyo wa police.
Ukiona mwili aungii risasi piga kivuli chake.Hizi dark art Huwa hazina bingwa
Mayunga unajua😆😆😆Hakuna uchawi wa kuzuia risasi. Hayo ni matokeo ya ujinga. Yalianza huko kwa Kinjekitile. Na si Kinjekitile tu, Wahindi wekundu walikuwaga nao na mganga aliyewadanganya kuwa ana dawa wakipigwa risasi na wazungu hazitawadhuru. Na zaidi ni kuwa jeshi hupingq vikali imani za kishirikina. Maana nirahisi sana kudemoralize jeshi linaloamini uchawi.
Halafu siku vidono vikiamka, mpaka utafute mtu mtwangane au upige ngumi ukutani Hadi vitulieee, vidono bwanaaa. Haaaaaaaa haaaaaaaa.twende kigoma this week nauli na malazi juu yako then kuna mtu namjua akupe hyo dawa endapo itakuwa uongo nakurudishia gharama zako zote za usafiri na malazi.
baada ya kufanyiwa utajaribiwa kwa kila silaha unayotaka wewe kuanzia wembe,pange,visu,shoka,risasi nk
dawa hiyo inaitwa kidono tembea ndugu dunia ina mengi mno usiyoyajua