Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

Naona DC yupo upande wa wachawi,wanapata vyeo toka kwa wachawi japo wanapinga uchawi
 
ULaya na Marekani uchawi umepungua sana baada ya wachawi wengi kuuliwa.

Huku Afrika ni watu viazi kama wewe ndio mnasababisha hawa wachawi waendelee kutusumbua kwa kuwatetea kuwa uchawi hakuna.

Pia Kama mtu anaeamini uchawi ni mjinga au uchawi haupo kwanini nchi hii kuna sheria ya kudhibiti uchawi -Witchcraft Act?

Wewe kama hujawahi shuhudia uchawi piga kimya tu sababu sisi wengine tuna shuhuda nyingi tu

Ulaya hawafanyi uchawi wa kuzuia maendeleo huu wa black magic sijui kulogana kisa mtu anakula nyama,wao wanafanya zaidi white magic uchawi wa miujiza
 
Hio ni vita ya kiroho kati ya wachawi na waganga Serikali inaingiliaje hapo.
Wacha wapigane kiroho mshindi apatikane
 
Mchawi ni mtu mpumbavu sana inatakiwa auliwe popote alipo maana anafanya kazi isiyo na faida kwake au kwa jamii.
Check mchawi analoga mazao shambani kesho yeye ndie atakaethirika kwa kununua mazao kwa Bei kubwa dukani
 
Hatari sana, ukiwaambia chama dola kongwe ni kero hawawezi kujitokeza kwa wingi na jazba hii


 
Nashangaa Mkristo au Muislamu kuogopa wachawi ujui nguvu uliyonayo
 
Hakuna uchawi wa kuzuia risasi. Hayo ni matokeo ya ujinga. Yalianza huko kwa Kinjekitile. Na si Kinjekitile tu, Wahindi wekundu walikuwaga nao na mganga aliyewadanganya kuwa ana dawa wakipigwa risasi na wazungu hazitawadhuru. Na zaidi ni kuwa jeshi hupingq vikali imani za kishirikina. Maana nirahisi sana kudemoralize jeshi linaloamini uchawi.
Mtafute Musa chesa atakueleza kuhusu ili au tafuta police wale wanaopambana na majambazi atakupa ukwel kuhusu hili
 
Uchawi upo ndugu ndio maana hata jeshini wanafundishwa dark arts. Hata askari waliokua wanapambana na majambazi ya Kahama na Kibondo walikua wanatumia dark arts Ili kuwamaliza bila hivyo hata ungerusha risasi ngapi humuuwi.
Hawaelewi hili,hakuna jambazi,mwizi au kibaka asiye mchawi.
Wao na waganga ni chai na kikombe
 
twende kigoma this week nauli na malazi juu yako then kuna mtu namjua akupe hyo dawa endapo itakuwa uongo nakurudishia gharama zako zote za usafiri na malazi.

baada ya kufanyiwa utajaribiwa kwa kila silaha unayotaka wewe kuanzia wembe,pange,visu,shoka,risasi nk

dawa hiyo inaitwa kidono tembea ndugu dunia ina mengi mno usiyoyajua
Hii bullets proof ya kiasili nayo Ina namna yake ya kuizimua.
Mganga huyo huyo wa kaka jambazi ndie mganga huyo huyo wa police.
Ukiona mwili aungii risasi piga kivuli chake.Hizi dark art Huwa hazina bingwa
 
Uchawi upo ndugu ndio maana hata jeshini wanafundishwa dark arts. Hata askari waliokua wanapambana na majambazi ya Kahama na Kibondo walikua wanatumia dark arts Ili kuwamaliza bila hivyo hata ungerusha risasi ngapi humuuwi.
Sio jeshini tu hata kwenye vyuo vya ujasusi wanafundishwa white magic.
Ninja ni kitu halisi Sio fiction.
Kuna kushambulia na kupotea, kuingia mahali kuchukua taarifa bila kuonekana,unadhani ni rahisi tu kuwakamata VIONGOZ wakuu wa makundi ya kigaidi bila white magic.
Wanatumia both white magic wanachanganya na operation za kisayansi.
 
mwisho wa siku DC ataamishwa muda si punde
 
Hii bullets proof ya kiasili nayo Ina namna yake ya kuizimua.
Mganga huyo huyo wa kaka jambazi ndie mganga huyo huyo wa police.
Ukiona mwili aungii risasi piga kivuli chake.Hizi dark art Huwa hazina bingwa
uko right kabisa wasiojua watabisha
 
Sjasoma sana ila najua uchawi upo kipindi npo skuli nlishawah kwenda kumroga mwalimu kwa buku jero
Na aliumwa kweli mguu
 
Hakuna uchawi wa kuzuia risasi. Hayo ni matokeo ya ujinga. Yalianza huko kwa Kinjekitile. Na si Kinjekitile tu, Wahindi wekundu walikuwaga nao na mganga aliyewadanganya kuwa ana dawa wakipigwa risasi na wazungu hazitawadhuru. Na zaidi ni kuwa jeshi hupingq vikali imani za kishirikina. Maana nirahisi sana kudemoralize jeshi linaloamini uchawi.
Mayunga unajua😆😆😆
 
twende kigoma this week nauli na malazi juu yako then kuna mtu namjua akupe hyo dawa endapo itakuwa uongo nakurudishia gharama zako zote za usafiri na malazi.

baada ya kufanyiwa utajaribiwa kwa kila silaha unayotaka wewe kuanzia wembe,pange,visu,shoka,risasi nk

dawa hiyo inaitwa kidono tembea ndugu dunia ina mengi mno usiyoyajua
Halafu siku vidono vikiamka, mpaka utafute mtu mtwangane au upige ngumi ukutani Hadi vitulieee, vidono bwanaaa. Haaaaaaaa haaaaaaaa.
 
Back
Top Bottom