Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Unaamini kuna mamba hugeuka watu?Na wewebutakuwa binadaku mjinga sana kujifanya huamini kama uchawi upo halafu unajiitana mkristo sijui muislam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaamini kuna mamba hugeuka watu?Na wewebutakuwa binadaku mjinga sana kujifanya huamini kama uchawi upo halafu unajiitana mkristo sijui muislam
Nimesoma nimeishia hapo, nimegundua huna unalolijua kuhusu mkoa wa Kigoma. Kupiga picha Ukiwa kibirizi haikufanyi ukaijua Kigoma vizuri.
Wewe ukipita Kigoma nitakua mwenyeji wako ubishi utaisha. Why tubishane na uhalisia upo.
Ndio naamini, kama fimbo ya musa iligeuka nyoka na ikameza nyoka wote wa waganga wafarao kwanini nisiamini kuwa mamba anaweza kugeuka kuwa mtu?Unaamini kuna mamba hugeuka watu?
Unahisi huyo Dc kurogwa inashindikana kijana....kuna mambo ya kienyeji yapo sana na yanafanya Kazi.Wamuloge kwanza huyo DC ili tu prove Kama wanachodai ni kweli.kama DC hajalogwa Basi ni uongo!!
Umenikumbush Prof. McGonagall.Ukimsikia mtu anapinga kuwepo kwa wachawi, mwangalie Mara mbilimbili, utakuta anafuga bundi ili kuwinda panya!, anamiliki fisi usiku ili kulinda mifugo! Wachawi wanataka "maggles" kwa mujibu Harry Potter wasijue kinachoendelea duniani
😂😂ni hatari boss. Ndio maana inatakiwa viongozi tuombewe mara kwa mara.Ila wewe ujue ni comedian🤣
😆😆😆ila nyie😂😂ni hatari boss. Ndio maana inatakiwa viongozi tuombewe mara kwa mara.View attachment 2631251
Dar ndiyo inaongoza kwa kuwa na waganga wa kienyeji wengiSasa unachobisha ni kipi haswaa? Njoo Kibondo au Kahama ndio ubishe sio umekaa Dar kwenye kiyoyozi unaleta ujuaji.
Hizo risasi sio kama zinapenya Bali Zina deflect kwenye mwili.... na majambazi wengi tu waliostaafu watakueleza hayo mambo yanavyofanya kazi Wala haihitaji ujuaji.
Na sio Tanzania tu hata nimewahi weka thread ya Reuters kuripoti kuhusu Polisi wa Mexico kulalamikia wauza madawa kutumia uchawi unaozuia risasi.
Tupunguze ujuaji tuzunguke mikoa tujifunze.
Aliyepotea najua alikua Diwani anaitwa Kanguye ila alipotea kipindi hicho 2018-20 huko Kakonko. So not sure huyo anamuongelea nani maana yule hata mwili haukuonekana mpaka Leo.Tatizo lenu mnadhani nyie tu ndo mnaijua Kigoma kama kawaida ya waamini ushirikina hamna logical reasoning whatsoever. Kigoma kuanzia mjini, Kasulu, Uvinza, Manyovu, Mnanila hadi Burundi nimefika countless times FYI. Nakufahamu kama kiganja changu cha mkono. Hamna ushirikana zaidi ya ujinga na umaskini na kuaminishana story za kusadikika, mazwazwa wanaamini moja kwa moja kama nyumbu.
Msaidie mwenzako kutaja jina la diwani aliyetoka kishirikina. Nilitaja hadi dau ila mwaka wapili sasa jina tu sijapata.
We kweli mtupu sana!Hakuna uchawi wa kuzuia risasi. Hayo ni matokeo ya ujinga. Yalianza huko kwa Kinjekitile. Na si Kinjekitile tu, Wahindi wekundu walikuwaga nao na mganga aliyewadanganya kuwa ana dawa wakipigwa risasi na wazungu hazitawadhuru. Na zaidi ni kuwa jeshi hupingq vikali imani za kishirikina. Maana nirahisi sana kudemoralize jeshi linaloamini uchawi.
Aliyepotea najua alikua Diwani anaitwa Kanguye ila alipotea kipindi hicho 2018-20 huko Kakonko. So not sure huyo anamuongelea nani maana yule hata mwili haukuonekana mpaka Leo.
Wakimaliza hiyo kazi ya kutafuta wachawi waje tuwape tenda ya kusaka mafisadi na wala rushwa serikalini labda watatusaidia kupunguza huo ugonjwa